mashuka collection
JF-Expert Member
- Apr 10, 2023
- 608
- 1,409
Alizoea kuzalilisha wanawake sasa amekutana kenyan no nonsense woman anajifanya kukana alichopost.Is there only one amina in east africa..?they just want attention
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alizoea kuzalilisha wanawake sasa amekutana kenyan no nonsense woman anajifanya kukana alichopost.Is there only one amina in east africa..?they just want attention
Ukichunguza vizuri hizi kesi zisizo na tija zinalenga kuwanufaisha mawakili na wanasheria kwa kumlipisha mteja legal feesAmina Khalef, mke aliyeachana na mwanamuziki maarufu wa Bongo, Ali Kiba amemchukulia hatua za kisheria mwimbaji Diamond Platnumz katika siku chache zilizopita.
Hii ni kutokana na matamshi ya hivi majuzi ambayo msanii huyo wa 'Zuwena' aliyatoa wakati wa majibizano makali mtandaoni na Alikiba.
Ikumbukwe ugomvi wao ulianza mwishoni mwa Julai, pale Diamond Platnumz alipomponda Ali Kiba akisema kuwa amemshinda katika nyanja zote za muziki, licha ya kumkuta kwenye tasnia ya muziki.
Bosi huyo wa Wasafi aliendelea kudai kuwa mke wa Ali Kiba Amina Khalef anafahamu kauli zake jambo ambalo lilizidisha moto.
"Tatizo unaokaa nao hawakuambii ukweli, wanakudanganya & na ndio maana nimekukuta kwenye muziki na nimekupita na kila kitu, kimauzo, kituzo, kifollowers, subscribers, viewers, listeners, kibei za show, kimaendeleo, kifupi kila kitu...kibebes usiongee maana habari yangu hadi na Amina na unayo..." Diamond Platnumz alisema.
Siku chache tu baada ya Diamond Platnumz kutoa kauli hizo, Amina Khalef leo amefunguka kuwa alimchukulia hatua za kisheria.
Kupitia wakili wake aliomba radhi na kusema kuwa taarifa za Chibu ni za uongo, kwa sababu hakuwahi kuwa na majibizano yoyote naye.
Amina Khalef alizidi kufichua kwamba alitaka aombwe radhi ndani ya siku saba, kwa sababu kauli hizo ziliharibu sifa yake.
"Mteja wetu aliyetajwa hajawahi kuwa na mwingiliano usio wa kitaalamu, usio wa kimaadili, usiofaa na/au wa kutia shaka na wewe kama inavyodaiwa. Kwamba wakati wote amekuwa akijiweka mbali na mizozo yote ya mitandao ya kijamii kati yako na msanii mwingine yeyote sio tu kwa mumewe.
Kwamba licha ya maoni yaliyo hapa juu, umekuwa ukiendeleza uwongo, uwongo na upotoshaji wa kashfa dhidi ya mteja wetu katika majukwaa yako mbalimbali ya mitandao ya kijamii. Kwamba kwenye akaunti yako ya Instagram uliyochapisha, na kusababisha kuchapishwa, na kusambazwa sana maneno yenye nukuu 'Habari yangu na Amina nazani Unayo'...Imetafsiriwa kwa upole kudhania kuwa wewe na mteja wetu mlihusika katika ugomvi usio wa kimaadili na wa kimapenzi" Sehemu ya taarifa hiyo. ya tarehe 10 Agosti kutoka kwa wanasheria kusoma.
Siku chache baada ya Amina Khalef kutaka msamaha kutoka kwa Diamond Platnumz, hatimaye amejibu kupitia mawakili wake pia.
Muimbaji huyo wa kibao cha 'Zuwena' alikataa kuomba msamaha kwa sababu alisema hakuwahi kumdharau malkia huyo kama alivyodai.
Kulingana na Diamond Platnumz, alitaja jina la Amina na sio Amina Khalef kwa ukamilifu.
Kwa hiyo jina Amina linaweza kumaanisha mtu mwingine yeyote na si lazima yeye moja kwa moja.
"Mteja wetu amesikitishwa na yaliyomo kwenye notisi yako ya mahitaji ambayo ina madai mazito na yasiyo na msingi juu ya ukweli wake. Mteja wetu hajawahi kusema popote kuwa na mwingiliano usio wa kitaalamu, usio wa maadili, usiofaa na / au wa tuhuma na mteja wako. Ni sana bahati mbaya barua yako haijaeleza katika extenso ambayo na post inayodaiwa ilimtaja mteja wako anayekwenda kwa jina la AMINA KHALEF" Sehemu ya taarifa hiyo ilisomeka.
"Kama matumizi ya 'Amina' ndio tatizo, je imekuingia akilini, ni watu wangapi kwa jina 'Amina' wanaweza kujitokeza na kudai kuchafuliwa?" Iliongeza.
Diamond Platnumz kupitia mawakili wake pia alisema kuwa kauli zake hazina nia ya kumdhuru Amina Khalef, na kamwe hazikumlenga yeye moja kwa moja.
Wapi amemtaja alikiba?Kwani Ally Kiba ana akina Amina wangapi?
Amina akipata mwanasheria mzuri anawatia adabu tu hao wahuni.
Hapo sasaKwani Ally Kiba ana akina Amina wangapi?
Amina akipata mwanasheria mzuri anawatia adabu tu hao wahuni.
Davido yupi unayemzungumzia?Huyu mtoto wa tandale namwona mjinga mmoja hivi akina davido na hela zote hawahangaiki na ujinga wa hivi ndio maana mziki wao na nchi yao unachanja mbuga.
Hakuna kitu kama hichoUyo amina akikomaa na iyo kesi anamchomoa mond mpunga mrefu, labda kama nia yake ilikua kusafisha jina lake tu
Is there only one amina in east africa..?they just want attention
Amina ana kesi nzuri tu kwa sababu kitakachoangaliwa ni probability kwa hiyo Aminas wote wakiwa eliminated, basi sioni kwanini asishinde.Hakuna kitu kama hicho
[emoji23][emoji23]Hao waandishi wa Amina wajinga sana, hawajui kwamba mtu kuhusishwa na jambo la Matamshi lazima identification yake iwe kamili? Wanakimbilia tu nunua makaratasi ya blue na kuandika
Mkuu amna kesi hapo kwasababu katika bandiko la diamond majina yaliyo tajwa ni MALKIA na AMINA sasa huyo mke wa Ally kiba ata mshitak vipi?Amina ana kesi nzuri tu kwa sababu kitakachoangaliwa ni probability kwa hiyo Aminas wote wakiwa eliminated, basi sioni kwanini asishinde.
Hata kimtandao alikosea diamond kwa kutaja jina la Amina, ataulizwa ni yupi na kwanini amtaje huyo Amina hata kama siyo mke wake Kiba bali ni mama ntilie anayemjua Kiba.
Why mention her??
Una mawazo makubwa sana! Huyu kijana atakuja kuishia kubaya... nimesoma mpaka nimetetemeka kwa hasira utadhani mimi ndo huyo mume wa Amina. Japokuwa hakutaja jina kamili huo ni utoto, Ushari, UPUMBAVU na utovu wa nidhamu wa hali ya juu! Huko anakoelekea sikoWrite your reply...hawa wasanii ndo mana wengi wao hufa kwa kupigwa shaba
Mshamba sana huyo kijana! Habadilikagi huyo MSENGE! HAKUI!Huyu mtoto wa tandale namwona mjinga mmoja hivi akina davido na hela zote hawahangaiki na ujinga wa hivi ndio maana mziki wao na nchi yao unachanja mbuga.
Kisheria haiko hivyo. Ili Defamation ithibitike ni lazima;Amina ana kesi nzuri tu kwa sababu kitakachoangaliwa ni probability kwa hiyo Aminas wote wakiwa eliminated, basi sioni kwanini asishinde.
Hata kimtandao alikosea diamond kwa kutaja jina la Amina, ataulizwa ni yupi na kwanini amtaje huyo Amina hata kama siyo mke wake Kiba bali ni mama ntilie anayemjua Kiba.
Why mention her??
Jina lake ni Amina na alikuwa mke wa Ali kiba.Mkuu amna kesi hapo kwasababu katika bandiko la diamond majina yaliyo tajwa ni MALKIA na AMINA sasa huyo mke wa Ally kiba ata mshitak vipi?
Sheria haziendeshwi kwa hisia, nina uhakika nikikuomba unionyeshe ni wapi Mond anathibitika kumtukana Ali Kiba huawezi kunionyesha, maana Alichofanya Diamond ni kuweka maandishi kwenye Insta Story yake bila kumtaja moja kwa moja Alikiba.Hapo ndio panaposhangaza, alikua anamtukana mume, baadae akataja jina la mke halafu useme hukumaanisha mke kwan wenye jina hilo wapo wengi.
Utetezi wa kitoto sana, yeye kama kidume kweli aseme ndio wakapambane mahakamani.
Kwani pale kwenye maandishi ya Mond alitaja moja kwa moja kuwa anatukana "Alikiba" , au unahisi tu?Hiyo pisi yako inalalwa na AliKiba?