Kumbe Amina wa Ali Kiba alimshtaki Diamond? Ona alivyojibiwa sasa

Ukichunguza vizuri hizi kesi zisizo na tija zinalenga kuwanufaisha mawakili na wanasheria kwa kumlipisha mteja legal fees
 
Hakuna kitu kama hicho
Amina ana kesi nzuri tu kwa sababu kitakachoangaliwa ni probability kwa hiyo Aminas wote wakiwa eliminated, basi sioni kwanini asishinde.
Hata kimtandao alikosea diamond kwa kutaja jina la Amina, ataulizwa ni yupi na kwanini amtaje huyo Amina hata kama siyo mke wake Kiba bali ni mama ntilie anayemjua Kiba.
Why mention her??
 
Mkuu amna kesi hapo kwasababu katika bandiko la diamond majina yaliyo tajwa ni MALKIA na AMINA sasa huyo mke wa Ally kiba ata mshitak vipi?
 
Write your reply...hawa wasanii ndo mana wengi wao hufa kwa kupigwa shaba
Una mawazo makubwa sana! Huyu kijana atakuja kuishia kubaya... nimesoma mpaka nimetetemeka kwa hasira utadhani mimi ndo huyo mume wa Amina. Japokuwa hakutaja jina kamili huo ni utoto, Ushari, UPUMBAVU na utovu wa nidhamu wa hali ya juu! Huko anakoelekea siko

Aonywe uropokaji wake utakuja kumponza.. aliuwawa rais wa Marekani bwana JFK, Sembuse yeye 😊
 
Huyu mtoto wa tandale namwona mjinga mmoja hivi akina davido na hela zote hawahangaiki na ujinga wa hivi ndio maana mziki wao na nchi yao unachanja mbuga.
Mshamba sana huyo kijana! Habadilikagi huyo MSENGE! HAKUI!

Anaenda kuishia kubaya asipoangalia... ku-misbehave mpaka kumtukana kienyeji mke wa mwenzako au aliyekuwa mke ni ushari wa hali ya juu!

Na waswahili wamejawa unafiki sana! Eti na yeye ana Cabinet na Board of directors wa kampuni ambao hata hawamshauri na ku-manage tabia yake.

NONSENSE!

HUYO **** NAMTAMANI SANA!
 
Kisheria haiko hivyo. Ili Defamation ithibitike ni lazima;

(1) Jina litajwe kwa ukamilifu na siyo kwa kubashiri kwa hisia zako

(2) Maneno yaliyotamkwa au kuandikwa (kuchorwa) yawe yanatweza utu wa mtu

(3) Maneno hayo yawe siyo ya kweli (kama ni ya kweli basi hiyo siyo defamation), na mtu/watu waliohusishwa na hayo maneno/maandishi wawe wamefedheheshwa

(4) Aliyedhalilishwa/waliodhalilishwa wawe wanastahili fidia

Bila hivyo vipengele vyote 4 kuthibitika Mahakamani basi hakuna defamation hapo.

Kama diamond kataja AMINA tu bila ubin wake tayari kipengele kimoja kinakuwa hakijathibitika na inatosha kabisa kutupilia mbali shauri hilo.
 
Mkuu amna kesi hapo kwasababu katika bandiko la diamond majina yaliyo tajwa ni MALKIA na AMINA sasa huyo mke wa Ally kiba ata mshitak vipi?
Jina lake ni Amina na alikuwa mke wa Ali kiba.
Akiwa na mwanasheria mzuri jamaa itabidi amlipe.
Preponderance of probabilities, siyo lazima utaje jina kamili, just by implication Amina mke wa Ali kiba hawezi kuondolewa, kufanya hivyo kutakuwa against any logic.
 
Hapo ndio panaposhangaza, alikua anamtukana mume, baadae akataja jina la mke halafu useme hukumaanisha mke kwan wenye jina hilo wapo wengi.

Utetezi wa kitoto sana, yeye kama kidume kweli aseme ndio wakapambane mahakamani.
Sheria haziendeshwi kwa hisia, nina uhakika nikikuomba unionyeshe ni wapi Mond anathibitika kumtukana Ali Kiba huawezi kunionyesha, maana Alichofanya Diamond ni kuweka maandishi kwenye Insta Story yake bila kumtaja moja kwa moja Alikiba.

Wewe na sisi mashabiki wengine ndio tunajua kuwa yale maneno yalimuendea Ali Kiba, ila sheria itataka tuthibitishe kitu ambacho hatuwezi.

SHERIA HAIJATAWALIA NA KUHISI.

Yani hata ile kuthubutu kufungua kesi kwenye issue kama hiyo, inaonyesha udogo na kutokufikiria kwa hao wanasheria.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…