Kumbe Amina wa Ali Kiba alimshtaki Diamond? Ona alivyojibiwa sasa

Wewe ndiye mpumbavu sambamba na hao mamaamina wenzako, identity iliyoko hapo ni uhusiano na Ali Kiba ambaye ndiye mlengwa kwenye mzozo.... sasa hao Amina zako na wewe mmeliwa na Ali?
Nionyeshe ni wapi Mond alitaja jina "Ali Kiba" kwenye yale maneno yake, ili tujue kuwa yale maneno yanahusiana na Identity ya Alikiba.

Wewe shabiki ndio unahisi kuwa yale maneno yalikuwa ni ya Alikiba, hata kama ni kweli bado Sheria inakutaka uthibitishe kuwa mlengwa ni Alikiba, kitu ambacho hauwezi badala yake utatumia kuhisi tu.

Sheria haiendeshwi kwa kuhisi bali KUTHIBITISHA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amna kesi hapo mkuu inshort amna mwanasheria anae jielewa akachukua hiyo kesi
 
Ali Kiba mwenyewe hajatajwa hapo. Ni mwanasheria kilaza tu ndo atakubali kujichafulia CV yake kwa kukomaa na kesi ambayo itapigwa chini kabla hata jogoo hajawika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…