endrizzy
Senior Member
- Oct 19, 2015
- 186
- 137
Imebainika ya kuwa mwanadada mlimbwende wema sepenga baada ya kutiwa ndani na umaarufu wake kupungua kwa kutajwa kuwa anatumia unga ikabidi atumie akili ya ziada kuokoa App yake
Hii ni kwa sababu app isije ikadoda na kuanzisha yote haya tunayoyaona leo pamoja na kuhama chama ili App yake ipate habari,
My take; CHADEMA wasimtreat kama queen wamchukulie mwanachama wa kawaida kama mimi uone kama hajahama..yule si anapenda kiki..
Hii ni kwa sababu app isije ikadoda na kuanzisha yote haya tunayoyaona leo pamoja na kuhama chama ili App yake ipate habari,
My take; CHADEMA wasimtreat kama queen wamchukulie mwanachama wa kawaida kama mimi uone kama hajahama..yule si anapenda kiki..