#COVID19 Kumbe askofu Gwajima aweza kuwa sahihi: Tangia chanjo ya COVID-19 inatolewa mpaka tarehe 23 Agosti ilikuwa partially approved kutolewa kwa binadamu

#COVID19 Kumbe askofu Gwajima aweza kuwa sahihi: Tangia chanjo ya COVID-19 inatolewa mpaka tarehe 23 Agosti ilikuwa partially approved kutolewa kwa binadamu

Nimekuomba tu jambo dogo, Chanjo yako uliyobuni na ambayo imeidhinishwa na serikali ikwapi? Otherwise utakuwa unaleta porojo tu za fala gwajima
Kwa nini uhangaike kutengeneza chanjo kwa ugonjwa ambao mwili unaweza kujitengenezea kinga?
Soma tena uelewe ni myths and misinformation kama anazotoa Gwajima kwa misukule
View attachment 1916213
Gwajima anatoka wapi hapa?
 
Nimechanja Mbwa wangu mara nyingi na nilikuwa napewa form kujaza na cheti.
Nimeuliza habari za mbwa Mimi?

Mimi nimechanja chanjo ya Typhoid, Yellow fever, tetanus nk.
Sijawahi ona consent form.
 
Hao wapinga chanjo au wanaokataa au wanaogopa n.k

Wangenijibu swali hili wangenisaidia.

Baada ya mabeberu ( tunavyowaita maana sisi ni mabingwa wa matusi reja reja kwa wazungu)
Kugundua dawa kuna nchi kadhaa kama iran wakawa na mashaka na chanjo za USA kwamba zitawaua mdogo mdogo n.k wakaamua kugundua ya kwao na kuwachanja raia wao, vile vile cuba,na Taiwan na Urrusi na India,

Je hizi nchi zote nao kwa chanjo waliogundua wao wenyewe wanataka kuua rais wao au hawajui wafanyalo tuanzie hapo.
 
Mbona unaeleza vitu ambavyo sijauliza? Nijibu Hilo la consent form tu ili tuendelea.

Yaani unaulizwa utaenda lini Kigoma?
Jibu; Nikifika nitaenda kumuona mama mdogo.
Acha woga kifo hakikwepeki.
Hakuna jf kaburini we jidai huelewi nini kimeandikwa hapo
 
Chanjo sio tiba kwanza, mlisema mananasi + limao zilizo oza ndo dawa ya uviko 19, lakini ndo wale wale walifata dawa Madagascar's na mwishowe ikamfyeka pia.

Tz hamna MD, wala CHEMIST wa kutengeneza chanjo au dawa ambayo itathibitishwa na WHO

SISI ACHA TUBISHE TU KWA KILA KITU NDO TUNAWEZA
Ni bora kipi kubisha kila kitu na kukubali kila kitu?
 
Nimeliza habari za mbwa Mimi?

Mimi nimechanja chanjo ya Typhoid, Yellow fever, tetanus nk.
Sijawahi on a consent form.
Wewe unadhani consent form zipo confirned tu kwenye operation ? 🤣 🤣 ,kwa hiyo wagonjwa wanaofanyaga MRI or city scan and etc. huwa wanajaza card za harusi?
 
Wewe polio ulichanja ukiwa na akili timamu au unauliza tu maswali yasiyokuwa na msingi?
Wewe wa Ajabu kweli, mtoto hujaziwa consent form na wazazi.
Nina watoto 3 wamechanjwa sijawahi jaza consent form.
Wewe ulijaza kwa ajili ya watoto?
 
Wewe unadhani consent form zipo confirned tu kwenye operation ? 🤣 🤣 ,kwa hiyo wagonjwa wanaofanyaga MRI or city scan and etc. huwa wanajaza card za harusi?
Nilikujibu kwa sababu ulisema kuhusu upasuaji.
Hospital zipo procedure nyingi tu zinazohitaji consent form na kamwe si chanjo.

Hujajibu bado unazungukazunguka tu.
 
Hao wapinga chanjo au wanaokataa au wanaogopa n.k

Wangenijibu swali hili wangenisaidia.

Baada ya mabeberu ( tunavyowaita maana sisi ni mabingwa wa matusi reja reja kwa wazungu)
Kugundua dawa kuna nchi kadhaa kama iran wakawa na mashaka na dawa za USA kwamba zitawaua mdogo mdogo n.k wakaamya kugundua ya kwao na kuwachanja raia wao, vile vile cuba,na Taiwan na Urrusi na India,

Je hizi nchi zote nao kwa chanjo waliogundua wao wenyewe wanataka kuua rais wao au hawajui wafanyalo tuanzie hapo.
Unazungumzia dawa au chanjo?
 
Nilikujibu kwa sababu ulisema kuhusu upasuaji.
Hospital zipo procedure nyingi tu zinazohitaji consent form na kamwe si chanjo.

Hujajibu bado unazungukazunguka tu.
🤣 🤣 🤣Nazungukazunguka kujibu maswali ya ujinga?
 
Unafikiri WHO ni malaika?,fahamu hao ni binadamu wana mapungufu pia,wana interest zao,wananunulika ,wanaweza kiuka viapo vyao.
Remember hakuna mkate mgumu mbele ya chai
Kwa hiyo unacholalamikia ni nini? Umeshaambiwa chanjo ni hiari kama hutaki pita hivi......Nini kinawawashawasha kufungua threads kuhusu chanjo?
 
Ni bora kipi kubisha kila kitu na kukubali kila kitu?
Bora ni kubisha tuuu ili tupate kilicho bora, ata wakisema wanafanya utafiti tz vifaa vyote vinatoka huko huko mbele na wao ndo wamevinisha kufanya hicho tunacho taka.

Mm navyo jua formula ya chanjo ya uviko 19 ni moja isipokuwa tu watengenezaji ndo tofauti.
 
Back
Top Bottom