#COVID19 Kumbe askofu Gwajima aweza kuwa sahihi: Tangia chanjo ya COVID-19 inatolewa mpaka tarehe 23 Agosti ilikuwa partially approved kutolewa kwa binadamu

#COVID19 Kumbe askofu Gwajima aweza kuwa sahihi: Tangia chanjo ya COVID-19 inatolewa mpaka tarehe 23 Agosti ilikuwa partially approved kutolewa kwa binadamu

Muwe mnasoma na kuvifahamu vyanzo vyenu vya taarifa kabla ya kuleta huku.

Kasome hao wamiliki wa hiyo site ni nani?
Mipango yao ni nini?
video haijatoka kwa wamiliki wa bitchute. Imetoka kwa daktari.
 
Walinunulika kwenye jambo gani hapo nyuma,au hisia zako tu?
Tuletee basi uliyogundua wewe

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Sisi watanzania ni wapumbavu sana,yani watu wanapinga pinga tu ujinga,hawa wanaopinga chanjo watuletee chanjo mbadala na siyo kuaminisha wengine ujinga usiyo na maana.In short,Gwajima ni mshamba wa kale sana.
 
Sisi watanzania ni wapumbavu sana,yani watu wanapinga pinga tu ujinga,hawa wanaopinga chanjo watuletee chanjo mbadala na siyo kuaminisha wengine ujinga usiyo na maana.In short,Gwajima ni mshamba wa kale sana.
Ukichanjwa huwezi kuugua corona?..hutavaa barakoa? Mjibu Gwajima sasa mtaalam, muelimishe
 
Unafikiri WHO ni malaika?,fahamu hao ni binadamu wana mapungufu pia,wana interest zao,wananunulika ,wanaweza kiuka viapo vyao.
Remember hakuna mkate mgumu mbele ya chai
watu wenye fikra za kirushwarushwa mna matatizo sana....yaani WHO wameapprove chanjo feki na wameanza kuchanja watu wao wenyewe zaidi ya 200mil western europe? hata viwanja vya michezo wamefungulia vinajaa mashabiki!!!

marekani imeshachanja zaidi ya watu 170mil....kisha wewe mnywa viroba unakuja na hoja ya kijinga kama hii.

jifunze kushughulisha ubongo wako. Huyo gwajima mnayemsikiliza ni form four failure tu. Hana hata diploma moja. Hiyo Phd yake ni feki kutoka chuo feki which doesnot exists kinaitwa Omega global university.

Ni aibu wasomi wa tz mnamsikiliza mtu mwenye elimu ya msingi ambaye research zake zimebase katika kutazama video clips za TIKTOK na ninyi elimu zenu mmeziweka chini ya makalio yenu.
 
Ukichanjwa huwezi kuugua corona?..hutavaa barakoa? Mjibu Gwajima sasa mtaalam, muelimishe
Ukichanjwa huwezi kuugua COVID ndio. Hata kama ukioata maambukizi tayari mwili unakuwa na uwezo wa kuhimili kupambana na Coronavirus.

Suala la kuvaa mask au kuchukua tahadhari utaacha endapo kama at least watu 96% watakuwa wamepata chanjo.
 
watu wenye fikra za kirushwarushwa mna matatizo sana....yaani WHO wameapprove chanjo feki na wameanza kuchanja watu wao wenye zaidi ya 200mil western europe? hata viwanja vya michezo wamefungulia vinajaa mashabiki? marekani imeshachanja zaidi ya watu 170mil....kisha wewe mnywa viroba unakuja na hoja ya kijinga kama hii.

shughulisha ubongo wako
Tena unakuta pumbu kama hawa ndio wavutaji wakubwa wa SIGARA ambazo zimeandikwa LIVE.

NI HATARI KWA AFYA YAKO lakini wanavuta.

Yaani ni mataahira fulani tu
 
Sawa kabisa.Je TFDA yetu au TMDA yetu ilijiridhisha juu ya ubora wa chanjo hii ikiwa FDA wao walitoa partial approval? Na nafikiri FDA ina uzoefu mkubwa kuliko sisi.anywhere tuende tukachanje maana Africa hatuna ujanja wowote isipokuwa kukandamizna na kusingiziana.Bara zima hatuwezi kutengeneza chanjo na huku tunajidai tuna wasomi? Aibu kubwa

Tembelea TMDA, angalia taratibu ili ujiridhishe. Dawa zoote na vifaa tiba viko chini yao juu ya usalama. Angalia utaratibu, kama kuna cha kuwaongezea basi wapatie.
 
Chanjo zote za COVID zimeidhinishwa na WHO kwaajili ya matumizi ya dharula kwasababu maisha ya watu yanapotea na shughuli ,a kiuchumi nyingi zilisimama.

Na bahati nzuri zimepunguza vifo kwa kiasi kikubwa sana.
Mbona hamjitokezi kuchanja sasa?. Toka zifike Tz ni watu laki 3 tu wamechanjwa. Halafu ajabu vifo vitokavyo na chanjo haviwekwi wazi
 
Unafikiri WHO ni malaika?,fahamu hao ni binadamu wana mapungufu pia,wana interest zao,wananunulika ,wanaweza kiuka viapo vyao.
Remember hakuna mkate mgumu mbele ya chai
Ila mnamtegema Gwajima ambae hana hata maabara ya utafiti???? 😀 😀 😀 😀 Gwajima na Manara wote ni binadamu pia, kuna siku Gwajima ataongoza zoezi la chanjo kanisani kwake, Trust me 😀 😀 😀
 
Ukichanjwa huwezi kuugua corona?..hutavaa barakoa? Mjibu Gwajima sasa mtaalam, muelimishe
Kitaalamu ipo hv-
1-Mtu aliyechanja anaweza kupata corona na ku-transmit.
2-Mtu aliyepata chanjo anaondoa uwezekano wa kupata permanent nerve damages,kuondoa uwezekano wa hospitalizations,kifo nk.
3-Tunashauriwa kwa sasa tuchanje na pia tuvae barakoa kwa sababu sehemu kubwa ya jamii bado haijawa vaccinated,Na pia kuvaa barakoa kunapunguza transmission kwenda kwenye hayo makundi ambayo yapo kwenye risk kubwa kama wazee ambao hawajachanja nk. Tukiwa wote ni full vaccinated,itafika mahali hamna haja tena ya masks-Mfano UK-wanaohudhuria mechi za premier league ni waliochanja-Hivyo ndo maana unawaona hawalazimishwi kuvaa barakoa.
 
Ila mnamtegema Gwajima ambae hana hata maabara ya utafiti???? 😀 😀 😀 😀 Gwajima na Manara wotw ni binadamu pia, kuna siku Gwajima ataongoza zoezi la chanjo kanisani kwake, Trust me 😀 😀 😀
Ndo maana nasemaga wafuasi wa Gwajima ni kibwetere warriors
 
Ila mnamtegema Gwajima ambae hana hata maabara ya utafiti???? 😀 😀 😀 😀 Gwajima na Manara wote ni binadamu pia, kuna siku Gwajima ataongoza zoezi la chanjo kanisani kwake, Trust me 😀 😀 😀
kabisa
 
Tanzania ni nchi yenye upumbavu mwingi sana,na huu upumbavu haukuanza leo-Just imagine Mjerumani alikuwa anapambana vitani na wahehe kwa kutumia mashine gun alafu sijui kinjekitile Ngwale anawaambia wananchi wake wajipake maji ili bullets za mjeruman ziyeyuke,were they serious? matokeo yalikuwa yepi?
 
Mbona hamjitokezi kuchanja sasa?. Toka zifike Tz ni watu laki 3 tu wamechanjwa. Halafu ajabu vifo vitokavyo na chanjo haviwekwi wazi
kwa hiyo unataka report ya waliokufa kutokana na chanjo tz itoke wapi ikiwa hakuna aliyekufa? waliochanjwa wote wameambia ukiona hali isiyo tofauti toa report. Ikiwa hakuna aliyetoa report maana yake hakuna shida.

Mimi nimechanjwa sijaona shida yo yote. I can bet you nilipochanjwa chanjo ya yellow fever nilijisikia dizziness kwa siku mbili tatu hivi. Lakini ya corona sijasikia shida yo yote.

Tatizo la watanzania, mkishamuona mtu ni vocal na jasiri wa kuzungumza hata jambo asilolijua huwa mnaweka elimu zenu chini ya makalio yake mnaanza kumsikiliza. Huyo gwajima ana maabara ya kuprove ufeki wa chanjo? Gwajima ana elimu gani zaidi ya form four failure maana hata Phd yake ni feki aliinunua kwa rand 5000 south africa kwa tapeli mmoja anajiita Omega global university-chuo ambacho hakipo mahali popote ulimwenguni.

Anadai eti amejulishwa n amkurugenzi wa kampuni ya kutengeneza chanjo kuwa chanjo si salama, mkurugenzi gani wa kampuni anaweza akatoa siri za product yake?...watanzania pekee
 
Sawa kabisa.Je TFDA yetu au TMDA yetu ilijiridhisha juu ya ubora wa chanjo hii ikiwa FDA wao walitoa partial approval? Na nafikiri FDA ina uzoefu mkubwa kuliko sisi.anywhere tuende tukachanje maana Africa hatuna ujanja wowote isipokuwa kukandamizna na kusingiziana.Bara zima hatuwezi kutengeneza chanjo na huku tunajidai tuna wasomi? Aibu kubwa
Tunaweza kweli kuwaamini TMDA kwa mambo serious wakati wanaotoa ushahidi kwa kuangalia vitu kwa macho? Hiki ndicho wanachosema.
Screen Shot 2021-08-30 at 10.35.16 AM.png
 
Tunaweza kweli kuwaamini TMDA kwa mambo serious wakati wanaotoa ushahidi kwa kuangalia vitu kwa macho? Hiki ndicho wanachosema.View attachment 1916131
Kwa hiyo wewe ulitegemea chip iangaliwe kwenye microscope ndo iweze kuonekana? Ulihitaji kujua myth ya kwamba shilingi inanata baada ya kuchanja ni mpaka uende TMDA?Usomi wa Tanzania una matatizo makubwa sehemu
 
Yule mama hapa jukwani alikuwa anahoji; "hivi shule mlienda kujifunza ujinga?". Watoto wenu wadogo wanachanjwa chanjo zaidi ya nane mbona hilo hamzungumzi?

Tatizo ni ubinafsi, kwa vile wengi ni vijana mnaona kama haiwahusu, mnawaambukiza watu wazima na ndio wanao ondoka kwa wingi.
 
Kwa hiyo wewe ulitegemea chip iangaliwe kwenye microscope ndo iweze kuonekana? Usomi wa Tanzania una matatizo makubwa sehemu
Dunia iko kwenye nano technology na biosensors. Nyie mmekalia kuangalia kwa macho halafu unatuambia umethibitisha!!! Ni kweli usemacho, elimu yetu ina matatizo.
 
Back
Top Bottom