#COVID19 Kumbe askofu Gwajima aweza kuwa sahihi: Tangia chanjo ya COVID-19 inatolewa mpaka tarehe 23 Agosti ilikuwa partially approved kutolewa kwa binadamu

#COVID19 Kumbe askofu Gwajima aweza kuwa sahihi: Tangia chanjo ya COVID-19 inatolewa mpaka tarehe 23 Agosti ilikuwa partially approved kutolewa kwa binadamu

Gwajima anajua chochote kuhusu masuala ya Afya, Tiba au Chanjo ?

Kubishana na Gwajima ni utaahira wa hali ya juu.

Ni sawa na kumchukua Haji Manara akabishane na Elon Musk kuhusu masuala ya Space Exploration. Ni upumbavu tu na kupotezeana muda.
Yaani kujua long term side effects za chanjo unahitaji kuwa na PhD ya udaktari?
Lo Watanzania kwa uvivu wa kusoma hawajambo.
 
Wewe ndo tueleze tuanzia hapa ukinibu hili niulize la pili.

Kwanini chanjo ya Corona unatakiwa ujaze consent form wakati chanjo zingine huhitaji kujaza consent form?
1- Consent form ni kawaida hata watu wanaofanyiwa operation huwa wanajaza.

2- Chanjo ya COVID-19 imeidhinishwa kwaajilibya matumizi ya dharula na hivyo utafiti wake haujakamilika kwa 100% na ndio maana hata baada ya kuchanja kuna utaratibu wa ufuatiliaji.

3- Ila tangu ianze kutolewa imeonekana iko effective kwa asilimia kubwa kudhibiti COVID-19.
 
Mkuu,nenda kachanjwe,hayo mengine waachie wataalamu.

Hawezi kukusikia

IMG_20210829_163746_049.jpg


Kwanza chanjo ni hiari.
 
Kapumbu mjinga sanaaa adi muda huu wananchi hawaamini
 
Yaani kujua long term side effects za chanjo unahitaji kuwa na PhD ya udaktari?
Lo Watanzania kwa uvivu wa kusoma hawajambo.
Basi tuambie wewe mtabiri naada ya miaka 3,000 wale mnaokula BURGER au KVANT mtapata madhara gani ??
 
1- Consent form ni kawaida hata watu wanaofanyiwa operation huwa wanajaza.

2- Chanjo ya COVID-19 imeidhinishwa kwaajilibya matumizi ya dharula na hivyo utafiti wake haujakamilika kwa 100% na ndio maana hata baada ya kuchanja kuna utaratibu wa ufuatiliaji.

3- Ila tangu ianze kutolewa imeonekana iko effective kwa asilimia kubwa kudhibiti COVID-19.
Hujajibu swali.
najua consent form hujazwa kwa mtu anayetegemea kufanyiwa operation.

Kwanini ujaze consent form kwenye chanjo hii wakati chanjo zote huwa hatujazi?
 
Kama hutaki chanjo kwa namna moja au nyingine ( i.e woga wa kufa) we tulia tu. Hakuna maana kupiga vuvuzela.

Kule kwenye lile box la mbao au mkeka au chini ya udongo ft 6 hakuna jamii ya jf kule wala fb wala Gwajiboy na ujanja ujanja wake wa kufufua watu haingi pale.
Mi nimechanja single dose,hata familia yangu haijui.
Death is a very unpleasant subject to talk about man, but the truth is that when taking the jab its like staring mr death in the face one on one, and telling him ( mr. Death) come on now kill me if you can. Cowards like you will come out with all sorts of excuses ' cause you just don't have the guts to stare mr. Death in the face and take the jab,period.
 
Kama corona tz ingekuwepo ule mkusanyiko wa yanga jana bila watu kuvaa barakoa basi tunategemea wagonjwa elfu 30
 
Hii sio chanjo. Kila anayedhani hii ni chanjo amedanganyika na mwisho wake ni kuangamia. Natural immunity is sufficiently able to fight against covid 19. PCR test iliyotumika kubaini wenye vovid kilikuwa ni kipimo cha uongo ndio maana NI KWELI hata mapapai na dizeli vilikuwa positive; na ndio maana CDC ya marekani imetangaza kukiondoa kipimo hicho. Kwa nini kilitumika? Ili kwa makusudi ku-generate hofu wapate kutenda wanachokitenda sasa - yaani kudunga watu kile ambacho kwa uongo kinaitwa chanjo. Pole kwa uliyeamini uongo huu. --- IN THE AGE OF FREE KNOWLEDGE, IGNORANCE IS A CHOICE - AND IT CAN COST YOUR LIFE.
dam.png
 
Naona huelewi taratibu za dawa.

Dawa huidhinishwa na WHO. Chanjo zote zinazotumika zimeidhinishwa na WHO.

Nchi au taasisi fulani zinaweza kuakua kutumia au kutotumia aina fulani ya dawa, lakini sharti kwanza iidhinishwe na WHO.

Kwa mfano, kuna dawa nyingi kwaajili ya matibabu ya malaria zilizoidhinishwa na WHO, lakini sisi kama nchi, kupitia wizara ya afya, kuna dawa fulani tu ndiyo tulizoamua kutumika kwaajili ya matibabu ya malaria.

Kwenye hiyo article, kilichofanyika siyo uidhinishaji wa matumizi ya chanjo bali ni maamuzi ya kutumia chanjo zilizoidhinishwa na WHO.
Sidhani kama umeielewa article .according to you FDA ilikuwa haijatoa full approval kwa covid vaccine.ndiyo maana kuna kundi kubwa hapo USA walikuwa wanasita kuchanjwa .
 
Wewe ndo tueleze tuanzia hapa ukinibu hili niulize la pili.

Kwanini chanjo ya Corona unatakiwa ujaze consent form wakati chanjo zingine huhitaji kujaza consent form?

Medical procedure/s or management/s inabeba risk/s hivyo unahitaji kusaini consent.

Unajua umuhimu wa utoaji wa consent?
Umeelezwa na kuelewa juu ya tukio husika na unafanya maamuzi yako ukiwa na uelewa na unabeba dhamana yako mwenyewe.

Kasome, kwa nini WHO walifikia kuondoa/kuwapa nafasi makampuni yanayotengeneza chanjo kutokushitakiwa kwa madhara ya chanjo zozote?

Ila, ijikite kwenye kuimalisha utaratibu wa kuhakikisha chanjo zote ni salama. Watu wanapoachilia mambo yanaenda kirahisi mnaona ndindo utaratibu.


Unajua hata dawa iliyofanyiwa tafiti miaka yote 15-18 bado yawezakuwa na madhara unapoileta kwenye jamii kubwa zaidi na tofauti?
SP(Sulphadoxine and pyramethamine) zililaza watu ICU na wengine walikufa unajua sababu? Msiimbe tu kama kasuku.
 
Hujajibu swali.
najua consent form hujazwa kwa mtu anayetegemea kufanyiwa operation.

Kwanini ujaze consent form kwenye chanjo hii wakati chanjo zote huwa hatujazi?
Mwalimu wako alipata tabu sana.
 
Hujajibu swali.
najua consent form hujazwa kwa mtu anayetegemea kufanyiwa operation.

Kwanini ujaze consent form kwenye chanjo hii wakati chanjo zote huwa hatujazi?
Jielimishe bro hii chanjo WHO na Taasisi ya nchi za Africa nsio wametoa hii chanjo, nchi maskini ( hata mbao wanasema wako middle class uchumi unakuwa kwa 7% lakini ambao hawana uwezo kugundua chanjo yao au kununua utaratibu ni huo, tungeipata kama dawa nyingine au chanjo nyingine kama ndui na polio isingekuwa hivyo.

Jiulize tu Iran, Cuba,Taiwan wamegundua chanjo zao wenyewe na wananchi wanachanja ina maana serilali za nchi hizo zinaua watu wao wenyewe kwa kubahatisha tiba. Sio chanjp zote zimetoka USA.
 
Sidhani kama umeielewa article .according to you FDA ilikuwa haijatoa full approval kwa covid vaccine.ndiyo maana kuna kundi kubwa hapo USA walikuwa wanasita kuchanjwa .

Unajua tofauti ya FDA na WHO?

FDA ni aurthority ndani ya nchi husika.
WHO ni shirika la afya duniani.

Kila nchi ina FDA yake kama hapa ilivyo TMDA.

Kila nchi hupitia dawa au vifaa tiba kwa kutumia FDA yake. Hivyo, unaweza kuhitaji muda ili ujiridhishe.
 
Chanjo zote za COVID zimeidhinishwa na WHO kwaajili ya matumizi ya dharula kwasababu maisha ya watu yanapotea na shughuli ,a kiuchumi nyingi zilisimama.

Na bahati nzuri zimepunguza vifo kwa kiasi kikubwa sana.

huna unachokijua umemezeshwa tu eti matumizi ya dharula kwenye uhai wa binadamu,
 
Hii sio chanjo. Kila anayedhani hii ni chanjo amedanganyika na mwisho wake ni kuangamia. Natural immunity is sufficiently able to fight against covid 19. PCR test iliyotumika kubaini wenye vovid kilikuwa ni kipimo cha uongo ndio maana NI KWELI hata mapapai na dizeli vilikuwa positive; na ndio maana CDC ya marekani imetangaza kukiondoa kipimo hicho. Kwa nini kilitumika? Ili kwa makusudi ku-generate hofu wapate kutenda wanachokitenda sasa - yaani kudunga watu kile ambacho kwa uongo kinaitwa chanjo. Pole kwa uliyeamini uongo huu. --- IN THE AGE OF FREE KNOWLEDGE, IGNORANCE IS A CHOICE - AND IT CAN COST YOUR LIFE.View attachment 1916081

Muwe mnasoma na kuvifahamu vyanzo vyenu vya taarifa kabla ya kuleta huku.

Kasome hao wamiliki wa hiyo site ni nani?
Mipango yao ni nini?
16303083805601629244364.jpg
 
Unajua tofauti ya FDA na WHO?

FDA ni aurthority ndani ya nchi husika.
WHO ni shirika la afya duniani.

Kila nchi ina FDA yake kama hapa ilivyo TMDA.

Kila nchi hupitia dawa au vifaa tiba kwa kutumia FDA yake. Hivyo, unaweza kuhitaji muda ili ujiridhishe.
Sawa kabisa.Je TFDA yetu au TMDA yetu ilijiridhisha juu ya ubora wa chanjo hii ikiwa FDA wao walitoa partial approval? Na nafikiri FDA ina uzoefu mkubwa kuliko sisi.anywhere tuende tukachanje maana Africa hatuna ujanja wowote isipokuwa kukandamizna na kusingiziana.Bara zima hatuwezi kutengeneza chanjo na huku tunajidai tuna wasomi? Aibu kubwa
 
Back
Top Bottom