#COVID19 Kumbe askofu Gwajima aweza kuwa sahihi: Tangia chanjo ya COVID-19 inatolewa mpaka tarehe 23 Agosti ilikuwa partially approved kutolewa kwa binadamu

#COVID19 Kumbe askofu Gwajima aweza kuwa sahihi: Tangia chanjo ya COVID-19 inatolewa mpaka tarehe 23 Agosti ilikuwa partially approved kutolewa kwa binadamu

..... Na kama Allah amepanga nafsi ya mtu iondoke kwa sababu yoyote ile basi hakuna cha WHO wala nani zaidi ni kuangalia namna ya kumrejea Allah pekee..


Ningekuwa na uwezo ningeamrisha watu wote wavae fully stara fully hijab fully niqqab. Ili ghadhabu za Allah zipungue zidi yetu.
Hapa siyo msikitini Sheikh.

Allah hakukuumba uwe TOY, kwamba kila tatizo linalokukuta wewe hujishughulishi, unamwachia tu.
 
..... Na kama Allah amepanga nafsi ya mtu iondoke kwa sababu yoyote ile basi hakuna cha WHO wala nani zaidi ni kuangalia namna ya kumrejea Allah pekee..


Ningekuwa na uwezo ningeamrisha watu wote wavae fully stara fully hijab fully niqqab. Ili ghadhabu za Allah zipungue zidi yetu.

Huyo Allah pia amekupa uwezo wa kuyasimamia kwa sehemu maisha yako usimsingizie. Tumia vyema maarifa aliyojupatia.

Ndiyo maana hauko kwenye nafasi hiyo, kwa sababu haujawezeshwa kwa misingi ya kisayansi.

Ungeacha watu wafe kwa Ebola Kwa mawazo yako. Watu walipitia njia hiyohiyo na makali yake yalifanyiwa kazi.
 
Gwajima Yuko Sasa ndiyo maana hakuna mwanasayansi aliyetokea mpaka kujibu maswali ya Gwajima,hata Ile tume ya Corona wamekimbia.
Sana Sana wanaishia kusema anapotosha.
Gwajima anajua chochote kuhusu masuala ya Afya, Tiba au Chanjo ?

Kubishana na Gwajima ni utaahira wa hali ya juu.

Ni sawa na kumchukua Haji Manara akabishane na Elon Musk kuhusu masuala ya Space Exploration. Ni upumbavu tu na kupotezeana muda.
 
Gwajima Yuko Sasa ndiyo maana hakuna mwanasayansi aliyetokea mpaka kujibu maswali ya Gwajima,hata Ile tume ya Corona wamekimbia.

Na wanaojitutumua kumjibu Sana Sana wanaishia kusema anapotosha tu.
Mbona hata wewe mwenye weledi wa kitanzania hujamjibu,zaidi mnashirikiana kupotisha.
 
..... Na kama Allah amepanga nafsi ya mtu iondoke kwa sababu yoyote ile basi hakuna cha WHO wala nani zaidi ni kuangalia namna ya kumrejea Allah pekee..


Ningekuwa na uwezo ningeamrisha watu wote wavae fully stara fully hijab fully niqqab. Ili ghadhabu za Allah zipungue zidi yetu.
Kuvaa hivyo ndiyo usafi wa nafsi au ndiyo uchaji Mungu?
Mnautawala mwili kwa akili,ndiyo maana hao wavaao hayo,wanaume wanagusa tu


Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 


swali ni je imekuwa scientifically approved au politically approved?
Naona huelewi taratibu za dawa.

Dawa huidhinishwa na WHO. Chanjo zote zinazotumika zimeidhinishwa na WHO.

Nchi au taasisi fulani zinaweza kuakua kutumia au kutotumia aina fulani ya dawa, lakini sharti kwanza iidhinishwe na WHO.

Kwa mfano, kuna dawa nyingi kwaajili ya matibabu ya malaria zilizoidhinishwa na WHO, lakini sisi kama nchi, kupitia wizara ya afya, kuna dawa fulani tu ndiyo tulizoamua kutumika kwaajili ya matibabu ya malaria.

Kwenye hiyo article, kilichofanyika siyo uidhinishaji wa matumizi ya chanjo bali ni maamuzi ya kutumia chanjo zilizoidhinishwa na WHO.
 
Chanjo sio tiba kwanza, mlisema mananasi + limao zilizo oza ndo dawa ya uviko 19, lakini ndo wale wale walifata dawa Madagascar's na mwishowe ikamfyeka pia.

Tz hamna MD, wala CHEMIST wa kutengeneza chanjo au dawa ambayo itathibitishwa na WHO

SISI ACHA TUBISHE TU KWA KILA KITU NDO TUNAWEZA
 
Unafikiri WHO ni malaika?,fahamu hao ni binadamu wana mapungufu pia,wana interest zao,wananunulika ,wanaweza kiuka viapo vyao.
Remember hakuna mkate mgumu mbele ya chai
Kataa kutumia dawa zote, rudi kwenye mizizi ya miti ambayo utafabyia majaribio wewe mwenyewe, na utaidhinisha mwenyewe.
 
Chanjo zote za COVID zimeidhinishwa na WHO kwaajili ya matumizi ya dharula kwasababu maisha ya watu yanapotea na shughuli ,a kiuchumi nyingi zilisimama.

Na bahati nzuri zimepunguza vifo kwa kiasi kikubwa sana.
Hawezi kuelewa huyo

antivaxxers wako busy kuanzisha same dialogue through different threads

utajibu hata 100 times Bado atakuja na same swali

wamejitwisha ugumu mkuu wa kuelewa
 
Gwajima anajua chochote kuhusu masuala ya Afya, Tiba au Chanjo ?

Kubishana na Gwajima ni utaahira wa hali ya juu.

Ni sawa na kumchukua Haji Manara akabishane na Elon Musk kuhusu masuala ya Space Exploration. Ni upumbavu tu na kupotezeana muda.
Jumanne anasema ataweka link ya zoom juu ya mahojiano yake na mgunduzi wa MRN sijui na mhunduzi wa chanjo ya Covid ambayo inaenda huko kwenye MRN.
 
Kataa kutumia dawa zote, rudi kwenye mizizi ya miti ambayo utafabyia majaribio wewe mwenyewe, na utaidhinisha mwenyewe.
Na simu atupe kule, hata hayo mafuta ya ngozi na nywele yanaweza kuwa na sumu

Na yale machanjo yote akatafute antidote
 
..... Na kama Allah amepanga nafsi ya mtu iondoke kwa sababu yoyote ile basi hakuna cha WHO wala nani zaidi ni kuangalia namna ya kumrejea Allah pekee..


Ningekuwa na uwezo ningeamrisha watu wote wavae fully stara fully hijab fully niqqab. Ili ghadhabu za Allah zipungue zidi yetu.
Acha kutumia dawa zote, subiria maamuzi ya Allah ili uishi au usiishi.
 
Jumanne anasema ataweka link ya zoom juu ya mahojiano yake na mgunduzi wa MRN sijui na mhunduzi wa chanjo ya Covid ambayo inaenda huko kwenye MRN.
Gwajima ni tapeli jasiri sana. Jumanne ni kesho tu wala siyo mwaka 3,000.

Usitegemee kitu chochote cha maana.
 
Chanjo zote za COVID zimeidhinishwa na WHO kwaajili ya matumizi ya dharula kwasababu maisha ya watu yanapotea na shughuli ,a kiuchumi nyingi zilisimama.

Na bahati nzuri zimepunguza vifo kwa kiasi kikubwa sana.
Hapa nimekuelewa sana
Nimekuwa nikiwaza hivi pia
Kwamba corona ni hatari
Chanjo bado haijatengamaa
Lakini wamerelease chanjo kwamba ipunguze vifo vya corona japo itakuwa na madhara kwa wachache kwa hiyo siyo sawa na kungojea miaka mitatu baadae ili tupate chanjo salama huwenda tukawa tumeisha kwa corona

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Eti wakuu Bupiji na Nimricaf zipo approved na FDA ?🐒
 
Mbona hata wewe mwenye weledi wa kitanzania hujamjibu,zaidi mnashirikiana kupotisha.
Wewe ndo tueleze tuanzia hapa ukinibu hili niulize la pili.

Kwanini chanjo ya Corona unatakiwa ujaze consent form wakati chanjo zingine huhitaji kujaza consent form?
 
Mbona hata wewe mwenye weledi wa kitanzania hujamjibu,zaidi mnashirikiana kupotisha.

Hatuwajibiki kwa Gwajima as an Individual.

Mnazungushwa na watu ambao hata hawana maarifa husika. Matumizi mabaya ya influence.

Maelezo sahihi yalishatolewa, mwenye hitaji la maelezo binafsi aende TMDA ndiyo authority inayoidhinisha dawa na vifaa tiba.

Tembeleeni TMDA, crinical trial yoyote (IHI wanafanya hizo kazi)na soma drug discovery and development. Mjifunze zaidi.
 
Back
Top Bottom