Kumbe ATM huwa zinakosea?

mkuu hii habari umehadithiwa ama imekutokea kweli? maana nijuavyo mimi huwezi kutoa zaidi ya 4k....hivyo ukitaka utoe milioni ni lazima utoe zaidi ya mara moja...au huduma ya kutoa milioni na kuendelea umeanza nayo wewe...mkuu
 
Wewe mirembe inakuhusu ndugu yangu,au umekula cha Arusha?
 
Hivi na wewe umemaliza wino wako kumshauri huyo mwezi mchanga?
 
Hakuna cha cctv walanini pale. Hadithi za kufikirika. Ushasikia Atm inatema zaidi ya 400,000/= kwa mkupuo? Ni uongo wa kuchangamsha jf.
 
Inawezekana mbona ipo siku nimetoa 600k
Mkuu hapo nimegundua kitu leo umesimuliwa habari za ATM hujawahi zisogelea umeamua uje hapa utuongopee.... huwezi toa 600k kwa mhamala mmoja maximum kwa mhamala ni 400k tena kama hamna buku teni inamaana ni 200k
 
Kwani Zimbabwe kuna Arusha pia?
 
Mashine za ATM zina uwezo wa kupitisha noti si zaidi ya 40. Hivya basi huwezi kutoa zaidi ya 400k kwa wakati mmoja kama mashine ina noti za 10k. Angalia vizuri itakuwa umeongeza sifuri ktk hizo ulizotoa
 
mara kibao tu;crdb mabibo hostel ilicount hela zikawa hazijatoka,ricipt ikawa inaosoma imetoa nikawafuata wakarudisha mtonyo

pia atm ya river side nimecomand hela flan ikatoka ile ile baadae naangalia salio limepungua xn,nikawapigia wakaniambia nimetoa kias flan wakat mm ckutoa hicho,imejidouble mara3 lakin hela haikutoka,imetoka ile tu niliyocomand,bt kule imesoma iliyojidouble mara3 kipind crbd hawalet msg ukitoa hela!

nikafuatilia tawin kwangu,baada ya cku moja/mbili wakarudisha mtonyo

[HASHTAG]#mara[/HASHTAG] nyingi tu atm zinazngua
 
Mkuu hapo nimegundua kitu leo umesimuliwa habari za ATM hujawahi zisogelea umeamua uje hapa utuongopee.... huwezi toa 600k kwa mhamala mmoja maximum kwa mhamala ni 400k tena kama hamna buku teni inamaana ni 200k
Una mbishe za ajabu, eti sijawahi zisogelea!!!! Kwani ATM ni ziwa LA moto?????
 
Una mbishe za ajabu, eti sijawahi zisogelea!!!! Kwani ATM ni ziwa LA moto?????
Ungeshazisogelea Ungejua maximum withdrawal per day ni Million moja na kwa mkupuo mmoja inatoa laki 4 tu,... Hii story yako hata kwa Shigongo haiuzii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…