X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
mkuu hii habari umehadithiwa ama imekutokea kweli? maana nijuavyo mimi huwezi kutoa zaidi ya 4k....hivyo ukitaka utoe milioni ni lazima utoe zaidi ya mara moja...au huduma ya kutoa milioni na kuendelea umeanza nayo wewe...mkuuNashukuru kwa siku ya Leo walau ilikua njema.
Nimeenda ATM moja hapa Arusha, nilikua nataka kuwithdraw kama 110,000TSh cha ajabu ilitoka 1100,000tsh. Nimevunja mpaka kadi sitaki kuendelea na ile bank tena.
Furaha iliyoje kwenye awamu kama hii ya baba JESCA? Naomba malaika aliyeniamsha Leo aje tena keshokutwa.