Kumbe ATM huwa zinakosea?

Kumbe ATM huwa zinakosea?

mara kibao tu;crdb mabibo hostel ilicount hela zikawa hazijatoka,ricipt ikawa inaosoma imetoa nikawafuata wakarudisha mtonyo

pia atm ya river side nimecomand hela flan ikatoka ile ile baadae naangalia salio limepungua xn,nikawapigia wakaniambia nimetoa kias flan wakat mm ckutoa hicho,imejidouble mara3 lakin hela haikutoka,imetoka ile tu niliyocomand,bt kule imesoma iliyojidouble mara3 kipind crbd hawalet msg ukitoa hela!

nikafuatilia tawin kwangu,baada ya cku moja/mbili wakarudisha mtonyo

[HASHTAG]#mara[/HASHTAG] nyingi tu atm zinazngua
Mmmh wee jamaa una balaa sana kila wakat ATM inakosea kwako tu
 
Kitu cha kisimiri si mchezo. Hebu na mimi nikaweke dawa niote kabla ya mchana.
 
Ungeshazisogelea Ungejua maximum withdrawal per day ni Million moja na kwa mkupuo mmoja inatoa laki 4 tu,... Hii story yako hata kwa Shigongo haiuzii
Endelea na hiyo bank yako
 
1100,000tsh. aiseeee hii ndio kiasi cha pesa tena?!

Au huko Mikoani mnatumia tarakimu tofauti kwenye pesa?!
 
f6815f95387df4ff56cc588fe0062843.jpg
Eti na picha kapiga
 
nitoe hata jero tu nisisambaze umbea huu..
maana noi kosa la jinai kuibia kampuni, tena kampuni kubwa, tena ni bank, tena imehifadhi hela za walalahoi, tena ni fedha za wizi...!!
mungu anakuona.
 
nitoe hata jero tu nisisambaze umbea huu..
maana noi kosa la jinai kuibia kampuni, tena kampuni kubwa, tena ni bank, tena imehifadhi hela za walalahoi, tena ni fedha za wizi...!!
mungu anakuona.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji12]
 
Nashukuru kwa siku ya Leo walau ilikua njema.

Nimeenda ATM moja hapa Arusha, nilikua nataka kuwithdraw kama 110,000TSh cha ajabu ilitoka 1100,000tsh. Nimevunja mpaka kadi sitaki kuendelea na ile bank tena.
Furaha iliyoje kwenye awamu kama hii ya baba JESCA? Naomba malaika aliyeniamsha Leo aje tena keshokutwa.
Acha uongo aisee, ATM gan inayotoa million moja per single draw, acha uongo mkuu
 
Ni hapo bhange zitakapokuisha na kugundua umebakia na elfu kumi kwa sababu hela iliyotoka ni laki na kumi na sio milioni na laki moja kama ulivyodhani!!
 
Nashukuru kwa siku ya Leo walau ilikua njema.

Nimeenda ATM moja hapa Arusha, nilikua nataka kuwithdraw kama 110,000TSh cha ajabu ilitoka 1100,000tsh. Nimevunja mpaka kadi sitaki kuendelea na ile bank tena.

Furaha iliyoje kwenye awamu kama hii? Naomba malaika aliyeniamsha Leo aje tena keshokutwa.

ATM inavyofanya kazi ukiingiza card na password na kiasi cha pesa unachotaka kuchukua inapeleka taarifa katika account yako kama account yako haina hela ya kutosha huo muamala hautakubali kwa hiyo unaweza kuchukua hela kwenye ATM mpaka hatua ya kwanza ya authorization kukamilika kutoka kwenye account yako hatua ya pili ni ATM kutoa hiyo pesa.
 
Back
Top Bottom