Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama uliona sio suala la kuandika uzi si ungepita kimya tu?😅😅😅
Yaani na Aziz ki kuwa kwenye hiyo dini ni suala la kuandika uzi
Ndio maana ukajibu😅😅😅
Yaani na Aziz ki kuwa kwenye hiyo dini ni suala la kuandika uzi
Nimemuona ktk video moja akiwa msikitini siku ya ijumaa. Allah amjaalie adumu ktk ibada.
Waliokaribu nae wamshsuri asikubali tena kumvisha jezi yule dada siku ya Yanga Day.
Dini yetu inakataza mambo yale hasa zaidi hadhara ktk jamii
Sasa akiwa muislam awe asiwe, wewe inakusaidia Nini?Kama uliona sio suala la kuandika uzi si ungepita kimya tu?
Wewe jamaa ukisikia tu neno Uislamu hua unaumia sana,hata huu uzi ni kama umekuchoma kama pasi,
Ungeuignore tu uzi kama uliona hauna manufaa kwako,kuchukia dini za wenzako kutakuletea vidonda vya tumbo tu,relax acha chuki za kijinga.
ni jambo la kheriTatizo la imani kila mtu mjuaji wewe kaa na imani yako . Ushauri baki nao mwenyewe . Kuna wengine watakuja na kusema bukta haziruhusiwi!
Aziz ki akiwa muislam ndo utapata ada ya mtoto?Ndio maana ukajibu
Wewe Mwislamu wa wapi hujui Aziz ni jina kutoka Dini Gani...?Nimemuona ktk video moja akiwa msikitini siku ya ijumaa. Allah amjaalie adumu ktk ibada.
Waliokaribu nae wamshsuri asikubali tena kumvisha jezi yule dada siku ya Yanga Day.
Dini yetu inakataza mambo yale hasa zaidi hadhara ktk jamii
Nitafaidika kumuona tupo imani moja ambapo Allah atujaalie tuingie ktk pepo yakeAziz ki akiwa muislam ndo utapata ada ya mtoto?
Aziz ki akiwa muislam au asiwe wewe itakusaidia nini?
Wewe Mwislamu wa wapi hujui Aziz ni jina kutoka Dini Gani...?
Kuna Watu ni Vilaza Sana Basi.
We jamaa taahira kweli, yaan mtu kusema tu hilo ni swala dogo sana la kuanzisha uzi unaaanza kumtuhumu chuki za dini.Kama uliona sio suala la kuandika uzi si ungepita kimya tu?
Wewe jamaa ukisikia tu neno Uislamu hua unaumia sana,hata huu uzi ni kama umekuchoma kama pasi,
Ungeuignore tu uzi kama uliona hauna manufaa kwako,kuchukia dini za wenzako kutakuletea vidonda vya tumbo tu,relax acha chuki za kijinga.