Kumbe Aziz K muislam?

Kumbe Aziz K muislam?

Nimemuona ktk video moja akiwa msikitini siku ya ijumaa. Allah amjaalie adumu ktk ibada.
Waliokaribu nae wamshsuri asikubali tena kumvisha jezi yule dada siku ya Yanga Day.
Dini yetu inakataza mambo yale hasa zaidi hadhara ktk jamii
Sasa kama ni muislam sisiya tuhusu nn mpka kuja kumfungulia uzi umu sheikh Malaria 2
 
We jamaa taahira kweli, yaan mtu kusema tu hilo ni swala dogo sana la kuanzisha uzi unaaanza kumtuhumu chuki za dini.

Hivi kwann nyie hamnaga akili, kila muda mnawaza mnachukiwa chukiwa, nani anawachukia nyie?

Mna mindset ya kijinga sana, kila siku mnalialia tu Islamophobia.

STUPID🚮
Binti mpona povu? Wewe ni mchepuko wa huyo niliyemquote? Ndio umekuja kumdefend bwana yako sio?

Basi huyo mumeo kila uzi unaohusu uislamu hua anatokwa povu na sio hapa tu,

Badala ya kukaa kutukana wanaume hapa,nenda kampikie ili asije akakutwanga talaka ukaja kutusumbua hapa na uzi wa kutuomba ushauri.
 
Sasa akiwa muislam awe asiwe, wewe inakusaidia Nini?
Imani yake ni ya yeye na Muumba wake
Kumbe unajua sio? Kwahiyo wewe inakuhusu nini? Mimi nilikua sijui dini ya huyo Aziz ila kupitia uzi huu nimejua,

Mbona kuna uzi humu kua lile shoga Aggrey limerudi madhahabuni ili hukutokwa povu?
 
Nenda msikitini, Fanya Ibada yako
Acha ubongo wako ufanye mambo ya msingi
Kufuatilia Azizi ki kamvalisha jezi nani? Ameswali masikini Gani?
Hayo ni maisha yake binafsi
Kwanza muislamu wa kweli hafuatilii mpira maana mpira una
Kamari
Pombe
Benki za riba
Wanawake wanachanganyika na wanaume
Matusi
Nk
Ambavyo vyote ni kinyume na uislamu
 
Anatakiwa akumbushwe kama kweli unachoongea
1000009862.jpg

 

Attachments

  • Screenshot_20241005_010637_WhatsAppBusiness.jpg
    Screenshot_20241005_010637_WhatsAppBusiness.jpg
    324.7 KB · Views: 2
Nenda msikitini, Fanya Ibada yako
Acha ubongo wako ufanye mambo ya msingi
Kufuatilia Azizi ki kamvalisha jezi nani? Ameswali masikini Gani?
Hayo ni maisha yake binafsi
Haya kamwambie na huyo aliyempost Mike Tyson,au yeye hafuatilii maisha binafsi ya Tyson?

Ukiwa star,chochote utakachokifanya basi kinakua ni habari,hapo unaweza kukuta unafuatilia wachezaji kibao wa Europe,

Kua mkweli tu,Udini ndio unaokutesa.
 
Back
Top Bottom