Magezi bugaga
JF-Expert Member
- Jul 7, 2021
- 1,181
- 1,594
What heck is that ? Since when unafatilia maisha ya mwanaumeNimemuona ktk video moja akiwa msikitini siku ya ijumaa. Allah amjaalie adumu ktk ibada.
Waliokaribu nae wamshsuri asikubali tena kumvisha jezi yule dada siku ya Yanga Day.
Dini yetu inakataza mambo yale hasa zaidi hadhara ktk jamii
Hata Mike Tyson ni muisilamu, ila anamiliki mashamba ya bangi kihalaliNimemuona ktk video moja akiwa msikitini siku ya ijumaa. Allah amjaalie adumu ktk ibada.
Waliokaribu nae wamshsuri asikubali tena kumvisha jezi yule dada siku ya Yanga Day.
Dini yetu inakataza mambo yale hasa zaidi hadhara ktk jamii
Sasa kama ni muislam sisiya tuhusu nn mpka kuja kumfungulia uzi umu sheikh Malaria 2Nimemuona ktk video moja akiwa msikitini siku ya ijumaa. Allah amjaalie adumu ktk ibada.
Waliokaribu nae wamshsuri asikubali tena kumvisha jezi yule dada siku ya Yanga Day.
Dini yetu inakataza mambo yale hasa zaidi hadhara ktk jamii
Anatakiwa akumbushwe kama kweli unachoongeaHata Mike Tyson ni muisilamu, ila anamiliki mashamba ya bangi kihalali
Ukiona hivo ujue hana mambo ya maana yanayoendelea kweny maisha yake zaidi ya kujifariji na mambo ya diniAziz ki akiwa muislam ndo utapata ada ya mtoto?
Aziz ki akiwa muislam au asiwe wewe itakusaidia nini?
Inamaana askofu wako.humuheshimu?Ukiona hivo ujue hana mambo ya maana yanayoendelea kweny maisha yake zaidi ya kujifariji na mambo ya dini
Sasa kuna ajabu gani Aziz Ki kuwa muislamu? Au Pacome kuwa mkristu?Nimemuona ktk video moja akiwa msikitini siku ya ijumaa. Allah amjaalie adumu ktk ibada.
Waliokaribu nae wamshsuri asikubali tena kumvisha jezi yule dada siku ya Yanga Day.
Dini yetu inakataza mambo yale hasa zaidi hadhara ktk jamii
Sio ajabu, ajabu imetokea siku aliomvisha yule dada jezi mbele ya kadamnasiSasa kuna ajabu gani Aziz Ki kuwa muislamu? Au Pacome kuwa mkristu?
Sasa dini ya Aziz ki nayo ni kitu ya kuanzishia uziSio ajabu, ajabu imetokea siku aliomvisha yule dada jezi mbele ya kadamnasi
Binti mpona povu? Wewe ni mchepuko wa huyo niliyemquote? Ndio umekuja kumdefend bwana yako sio?We jamaa taahira kweli, yaan mtu kusema tu hilo ni swala dogo sana la kuanzisha uzi unaaanza kumtuhumu chuki za dini.
Hivi kwann nyie hamnaga akili, kila muda mnawaza mnachukiwa chukiwa, nani anawachukia nyie?
Mna mindset ya kijinga sana, kila siku mnalialia tu Islamophobia.
STUPID🚮
Ndio maana ukachangia ktk uzi huoSasa dini ya Aziz ki nayo ni kitu ya kuanzishia uzi
Kumbe unajua sio? Kwahiyo wewe inakuhusu nini? Mimi nilikua sijui dini ya huyo Aziz ila kupitia uzi huu nimejua,Sasa akiwa muislam awe asiwe, wewe inakusaidia Nini?
Imani yake ni ya yeye na Muumba wake
Nimekuja kuushangaa huu uziNdio maana ukachangia ktk uzi huo
Nenda msikitini, Fanya Ibada yakoNitafaidika kumuona tupo imani moja ambapo Allah atujaalie tuingie ktk pepo yake
Kwanza muislamu wa kweli hafuatilii mpira maana mpira unaNenda msikitini, Fanya Ibada yako
Acha ubongo wako ufanye mambo ya msingi
Kufuatilia Azizi ki kamvalisha jezi nani? Ameswali masikini Gani?
Hayo ni maisha yake binafsi
Anatakiwa akumbushwe kama kweli unachoongea
View attachment 3192388
Mike Tyson grows cannabis garden on top of $44m Tyson Ranch mansion
Mike Tyson is growing a cannabis garden on top of his $44million mansion. Tyson is the proud owner of a 420-acre weed resort near Desert Hot Springs in Southern California, where marijuana is now legalised. The development and construction of the Tyson Ranch property extend his million-dollar...www.independent.co.uk
Haya kamwambie na huyo aliyempost Mike Tyson,au yeye hafuatilii maisha binafsi ya Tyson?Nenda msikitini, Fanya Ibada yako
Acha ubongo wako ufanye mambo ya msingi
Kufuatilia Azizi ki kamvalisha jezi nani? Ameswali masikini Gani?
Hayo ni maisha yake binafsi