Kumbe Aziz K muislam?

Kumbe Aziz K muislam?

Wewe Kima usichukie kuitwa Asha Ngedere. Hili jina linakufaa kwa 100%, kutokana na tabia yako ya kutukana watu hovyo humu jukwaani huku ukiwa huna sababu za msingi.
Wewe mchicha mwiba huna mamlaka ya kuwapangia watu humu waanzisha mada gani au wasianzishe mada gani,kama umezowea kumpangia mumeo cha kufanya,usifikiri utawapangia watu wote kiazi wewe.
 
Nimemuona ktk video moja akiwa msikitini siku ya ijumaa. Allah amjaalie adumu ktk ibada.
Waliokaribu nae wamshsuri asikubali tena kumvisha jezi yule dada siku ya Yanga Day.
Dini yetu inakataza mambo yale hasa zaidi hadhara ktk jamii
Kwa kweli Uislamu Umepata mtu wa maana sana. Mola amjalie mema.... Nimefurahi sana kufahamu Aziz Ki ni Muislam. Tuendelee.kumpambania....
 
Wenzetu walichukua dini na utamaduni.
kwamba upande wapili wao hawajachukua kutoka hapo middle east? Na kuna muda wanaona yakishamba wanachukua yaliyofasriwa kizungu mkuu.

Haya mambo tatizo lake kila mtu anamuona mwenzake anakosea wakati vitu vinavofanyika ni vilevile tu mkuu
 
Wewe mchicha mwiba huna mamlaka ya kuwapangia watu humu waanzisha mada gani au wasianzishe mada gani,kama umezowea kumpangia mumeo cha kufanya,usifikiri utawapangia watu wote kiazi wewe.
Muone huyu kima! Lini nimekupangia mada ya kuanzisha humu jukwaani, au ni lini uliona nimechangia mada yako au kuku quote, wakati nikitambua fika wewe ni Asha Ngedere?
 
Toka mwanzo nilikwambia kua wewe kafiri chuki ya udini ndio iliyokufanya ukaona huu uzi hauna maana,usivyokua na akili unajiweka wazi wewe mwenyewe bila kujijua,

Anzisha mada yako inayohusu hao Hamas tutakuja kuchangia,hapa stick kwenye uzi husika.
Kwani hii mada umeanzisha wewe mke wa kamanda wa Hamas? Kwa nini unawashwa washwa na kunitukana?
 
Muone huyu kima! Lini nimekupangia mada ya kuanzisha humu jukwaani, au ni lini uliona nimechangia mada yako au kuku quote, wakati nikitambua fika wewe ni Asha Ngedere?
Kumbe huna hata akili ya kukumbuka ulichokiandika humu? wewe ni nani upange kua hii mada haina maana na huu uzi haukutakiwa kuanzishwa coz umeona ni jambo la kawaida?

Kama uliona uzi hauna maana ungepita kimya,hakuna aliyekuita kuja kuchangia kwenye uzi ambao wewe umeona hauna maana,chuki zinakutafuna,huu uzi umekuchoma kama pasi.
 
Safi kabisa,naona dawa imekuingia kunako,ngoja sasa nikubadilishie dozi,
Hakuna hoja uliyouliza zaidi ya kumpangia mleta mada kua hakutakiwa kuleta hii mada,una akili nyepesi sana isiyokumbuka ulichokisema mwanzo.
Wapi kwenye maelezo yangu nilimuambia mtoa mada hakutakiwa kuleta mada yake humu jukwaani? Halafu wewe ni nani yake mpaka unitukane?

 
Kwani hii mada umeanzisha wewe mke wa kamanda wa Hamas? Kwa nini unawashwa washwa na kunitukana?
Wewe mke wa mtu kua na akili basi,ina maana matusi yako kwangu huyaoni sio?
Acha kuplay as a victim,

Uislamu unakutesa sana,mara urukie sijui Hamas,huu sio uzi wa hamas nimesha kwambia,kaanzishe uzi wa hiyo issue tutakuja kuchangia.
 
Wapi kwenye maelezo yangu nilimuambia mtoa mada hakutakiwa kuleta mada yake humu jukwaani? Halafu wewe ni nani yake mpaka unitukane?
Nimekwambia hivi,acha kuplay as a victim,matusi yako dhidi yangu umesha yasahau sio?
 
What is so special kwa Aziz Kii kuwa Muislam? Mbona kuna wachezaji wengi Waislam duniani kote na hakuna anayejali!!

Halafu nilitaka pia kufahamu kama dini yenu inaruhusu watu kucheza/kuangalia mpira, badala ya kutumia muda wao mwingi kumswalia Mtume kama wafanyavyo ndugu zenu Wataliban.

Haya ni maswali na maoni yangu niliyoyatoa kwa mtoa mada! Wapi nimekutukana
wewe Asha Ngedere? Na wapi nimesema mtu asichangie kwenye huu uzi kupitia hayo maswali yangu hapo juu?
 
Haya ni maswali na maoni yangu niliyoyatoa kwa mtoa mada! Wapi nimekutukana
wewe Asha Ngedere? Na wapi nimesema mtu asichangie kwenye huu uzi kupitia hayo maswali yangu hapo juu?
Naona umekazania jina la ngedere alilopewa mamako kitaani kwa tabia zake.
 
Naona umekazania jina la ngedere alilopewa mamako kitaani kwa tabia zake.
Ahueni sasa umekubali kumbe wewe ni Asha Ngedere, binti anayependa shari na watu huku akiwa hana sababu za msingi. Usingeni quote kirahisi tu hivi na kuendeleza matusi yako.
 
Ahueni sasa umekubali kumbe wewe ni Asha Ngedere, binti anayependa shari na watu huku akiwa hana sababu za msingi. Usingeni quote kirahisi tu hivi na kuendeleza matusi yako.
Acha kutia huruma hapa,nakubadilishia dozi mpaka akili ikukae sawa,si ulijitapa kua unataka kutukana watu hapa,mbona umeanza kutia huruma mapema sana? mpaka uache uchoko na urudi kwenye mstari kichwa panzi wewe.
 
Acha kutia huruma hapa,nakubadilishia dozi mpaka akili ikukae sawa,si ulijitapa kua unataka kutukana watu hapa,mbona umeanza kutia huruma mapema sana? mpaka uache uchoko na urudi kwenye mstari kichwa panzi wewe.
Wewe kubali tu hili jina la Asha Ngedere, mke wa kamanda wa Hamas uliyemuweka kwenye avatar yako. Maana unaendana nalo. Ungekuwa siyo Asha Ngedere usingetukana watu hovyo humu jukwaani.
 
Majina ya kiislam ni yapi? Na ni majina ya kiislam au ya kiarabu? Ni kosa muislam wa Mpimbwe kuitwa jina lake la asili badala ya watu anaowaabudu?
Majina ya kiislam huyajui
 
Back
Top Bottom