Kumbe Aziz Ki kilichombakiza Tanzania ni Hamisa Mobeto? Licha ya ofa kibao zilizotolewa na timu kubwa Afrika zikatupwa kisa mwanamke

Ketoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2015
Posts
1,117
Reaction score
1,966
Kuna video na picha zinatrend mitandaoni zikionesha Mchezaji wa Yanga na Hamisa Mabeto wakiwa katika dimbwi zito la mapenzi katika uwanja wa mazoezi

Licha ya ofa kubwa kutolewa kwa Aziz Ki bado akaona asingemuacha Mabeto mbali ya mboni ya macho yake
Sifa nyiiingi kwa injinia kumbe sivyo ,sifa ziende kwa Hamisa,chezea mapenzi bwana.

 
Siamini km Aziz Ki ni mshamba wa mapenzi hivyoo, na km issues ni Misa, si angeenda tyuu huko kwenye offa alizopewa, na angemfata huko huko.

Misa mwenyewe anavyopenda kuswampaaa? Woiiiiiih
Afu huyu Domo na Caren imeishia wapiii? Lol
 
Mwanaume mweusi hanaga akili..akili yake ipo kwa wanawake...angekuwa mweupe kidogo angefutwa mafanikio na sio kxma. Duniani kote hamna mwanaume mweusi mwenye akili.

Dunia yote imejengwa na kuprndezeshwa na mwanaume mweupe,kitechnologi,kisayansi,kiuchumi n.k..mweusi ameachiwa afukuzane na umaskini na wanawake..

Ndio maana wanaume weupe wanajiamini sana na hawanyenyekei wanawake na hawapendi mapenzi pia.
 
Taratibu asikusikie injinia hersi.
 
Aisee ila mbususu ya mrembo itakuwa imedinywa vilivyo maana jamaa ana pumzi na kama guu lake la kushoto lipo proportional na deliboloz lake aiseee.....sii mchezo.
Ila sasa mrembo wetu asikae kizembe dogo aache mbegu hapa tz tunufaike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…