Kumbe Aziz Ki kilichombakiza Tanzania ni Hamisa Mobeto? Licha ya ofa kibao zilizotolewa na timu kubwa Afrika zikatupwa kisa mwanamke

Kumbe Aziz Ki kilichombakiza Tanzania ni Hamisa Mobeto? Licha ya ofa kibao zilizotolewa na timu kubwa Afrika zikatupwa kisa mwanamke

Kuna video na picha zinatrend mitandaoni zikionesha Mchezaji wa Yanga na Hamisa Mabeto wakiwa katika dimbwi zito la mapenzi katika uwanja wa mazoezi

Licha ya ofa kubwa kutolewa kwa Aziz Ki bado akaona asingemuacha Mabeto mbali ya mboni ya macho yake
Sifa nyiiingi kwa injinia kumbe sivyo ,sifa ziende kwa Hamisa,chezea mapenzi bwana.

View attachment 3039887View attachment 3039888
Hapa mpira ndiyo umekwisha kabisa, unaacha maendeleo kumuendekeza changu tena changu aliyekubuhu ushirikina na asiye na faida kwa mwanaume?
 
Kuna video na picha zinatrend mitandaoni zikionesha Mchezaji wa Yanga na Hamisa Mabeto wakiwa katika dimbwi zito la mapenzi katika uwanja wa mazoezi

Licha ya ofa kubwa kutolewa kwa Aziz Ki bado akaona asingemuacha Mabeto mbali ya mboni ya macho yake
Sifa nyiiingi kwa injinia kumbe sivyo ,sifa ziende kwa Hamisa,chezea mapenzi bwana.

View attachment 3039887View attachment 3039888
Nadhhani unanogesha jamvi tuuh,sieti!?
 
Hiyo ya mobeto ni propaganda za kipumbavu ukweli ni kwamba hakukuwa na ofa ya maana iliyokuja kwa azizi k,hawezi kukataa milioni 90 ang'ang'anie hela ya kipuuzi yanga.wakati kwa uwezo wake sidhani kama anamiaka mitano mbele aendelee kuwana uwezo wake kama alivyokuwa nao sasa.
Muda utaongea
 
Kuna video na picha zinatrend mitandaoni zikionesha Mchezaji wa Yanga na Hamisa Mabeto wakiwa katika dimbwi zito la mapenzi katika uwanja wa mazoezi

Licha ya ofa kubwa kutolewa kwa Aziz Ki bado akaona asingemuacha Mabeto mbali ya mboni ya macho yake
Sifa nyiiingi kwa injinia kumbe sivyo ,sifa ziende kwa Hamisa,chezea mapenzi bwana.

View attachment 3039887View attachment 3039888
Hii ya Mobeto ni kwa ajili ya vilaza ambao ndio wengi nchi hii.
Aziz amebaki yanga kwa pesa za ufisadi anazolipwa kwa siri ili wachezaji wenzake na watanzania wenye akili za kula ugali wasijue
 
Sasa wewe unamlalamikia aziz ki kuachana na donge nono kwa timu za nje sababu ya hamisa sasa angeenda hamisa ungemshughulikia wew?
 
Hiyo ya mobeto ni propaganda za kipumbavu ukweli ni kwamba hakukuwa na ofa ya maana iliyokuja kwa azizi k,hawezi kukataa milioni 90 ang'ang'anie hela ya kipuuzi yanga.wakati kwa uwezo wake sidhani kama anamiaka mitano mbele aendelee kuwana uwezo wake kama alivyokuwa nao sasa.
Muda utaongea
Chezea mapenzi
 
Wanawake wanaroho ngumu sana jamani.
 
Kuna video na picha zinatrend mitandaoni zikionesha Mchezaji wa Yanga na Hamisa Mabeto wakiwa katika dimbwi zito la mapenzi katika uwanja wa mazoezi

Licha ya ofa kubwa kutolewa kwa Aziz Ki bado akaona asingemuacha Mabeto mbali ya mboni ya macho yake
Sifa nyiiingi kwa injinia kumbe sivyo ,sifa ziende kwa Hamisa,chezea mapenzi bwana.

View attachment 3039887View attachment 3039888


Kwani asingeweza mbeba
 
Kuna video na picha zinatrend mitandaoni zikionesha Mchezaji wa Yanga na Hamisa Mabeto wakiwa katika dimbwi zito la mapenzi katika uwanja wa mazoezi

Licha ya ofa kubwa kutolewa kwa Aziz Ki bado akaona asingemuacha Mabeto mbali ya mboni ya macho yake
Sifa nyiiingi kwa injinia kumbe sivyo ,sifa ziende kwa Hamisa,chezea mapenzi bwana.

View attachment 3039887View attachment 3039888
Mob ni public comodity (chawote)
Samson na Delilah
Adam na Eva
Aziz na Mobeto😂
 
Back
Top Bottom