Kumbe Aziz Ki kilichombakiza Tanzania ni Hamisa Mobeto? Licha ya ofa kibao zilizotolewa na timu kubwa Afrika zikatupwa kisa mwanamke

Kumbe Aziz Ki kilichombakiza Tanzania ni Hamisa Mobeto? Licha ya ofa kibao zilizotolewa na timu kubwa Afrika zikatupwa kisa mwanamke

naamini, yanga au meneja wa aziz ametafuta mkataba mzuri kumtangaza aziz na mobeto ili asifaidike tu kwenye mpira ila kwenye advertisements. ndio lengo la kumweka mobeto, anaweza akapata pesa nyingi zaidi ya zile za kucheza. au nimewaza vibaya?
 
Kuna video na picha zinatrend mitandaoni zikionesha Mchezaji wa Yanga na Hamisa Mabeto wakiwa katika dimbwi zito la mapenzi katika uwanja wa mazoezi

Licha ya ofa kubwa kutolewa kwa Aziz Ki bado akaona asingemuacha Mabeto mbali ya mboni ya macho yake
Sifa nyiiingi kwa injinia kumbe sivyo ,sifa ziende kwa Hamisa,chezea mapenzi bwana.

View attachment 3039887View attachment 3039888
Hivi DC Hassan Bomboko hawezi kutumia mamlaka yake kumchukulia hatua Mobeto?
 
Siamini km Aziz Ki ni mshamba wa mapenzi hivyoo, na km issues ni Misa, si angeenda tyuu huko kwenye offa alizopewa, na angemfata huko huko.

Misa mwenyewe anavyopenda kuswampaaa? Woiiiiiih
Afu huyu Domo na Caren imeishia wapiii? Lol
Kuswampaaa ndo nn???
 
Mwanaume mweusi hanaga akili..akili yake ipo kwa wanawake...angekuwa mweupe kidogo angefutwa mafanikio na sio kxma. Duniani kote hamna mwanaume mweusi mwenye akili.

Dunia yote imejengwa na kuprndezeshwa na mwanaume mweupe,kitechnologi,kisayansi,kiuchumi n.k..mweusi ameachiwa afukuzane na umaskini na wanawake..

Ndio maana wanaume weupe wanajiamini sana na hawanyenyekei wanawake na hawapendi mapenzi pia.
Sema wewe huna akili
Mwanaume mweusi hanaga akili..akili yake ipo kwa wanawake...angekuwa mweupe kidogo angefutwa mafanikio na sio kxma. Duniani kote hamna mwanaume mweusi mwenye akili.

Dunia yote imejengwa na kuprndezeshwa na mwanaume mweupe,kitechnologi,kisayansi,kiuchumi n.k..mweusi ameachiwa afukuzane na umaskini na wanawake..

Ndio maana wanaume weupe wanajiamini sana na hawanyenyekei wanawake na hawapendi mapenzi pia.
Nenda ukaolewe na weupe basi
 
Kuna video na picha zinatrend mitandaoni zikionesha Mchezaji wa Yanga na Hamisa Mabeto wakiwa katika dimbwi zito la mapenzi katika uwanja wa mazoezi

Licha ya ofa kubwa kutolewa kwa Aziz Ki bado akaona asingemuacha Mabeto mbali ya mboni ya macho yake
Sifa nyiiingi kwa injinia kumbe sivyo ,sifa ziende kwa Hamisa,chezea mapenzi bwana.

View attachment 3039887View attachment 3039888
Baaasi kazi na kipaji kwishney kwa dogo Aziz Ki, ukishaingiza mpira na mademu umekwisha tena demu mwenyewe awe mchawi kama Hamisa ndiyo kabisaaaaa. Umeona wapi mtu kwa makusudi anakataa maendeleo ili achezewe akili na shangingi?
 
Kuna video na picha zinatrend mitandaoni zikionesha Mchezaji wa Yanga na Hamisa Mabeto wakiwa katika dimbwi zito la mapenzi katika uwanja wa mazoezi

Licha ya ofa kubwa kutolewa kwa Aziz Ki bado akaona asingemuacha Mabeto mbali ya mboni ya macho yake
Sifa nyiiingi kwa injinia kumbe sivyo ,sifa ziende kwa Hamisa,chezea mapenzi bwana.

View attachment 3039887View attachment 3039888
Kweli Hamisa ni mchawi, Mama Dangote ahsente kwa kutufungua macho......tunayaona wenyewe live sasa.
 
Kuna video na picha zinatrend mitandaoni zikionesha Mchezaji wa Yanga na Hamisa Mabeto wakiwa katika dimbwi zito la mapenzi katika uwanja wa mazoezi

Licha ya ofa kubwa kutolewa kwa Aziz Ki bado akaona asingemuacha Mabeto mbali ya mboni ya macho yake
Sifa nyiiingi kwa injinia kumbe sivyo ,sifa ziende kwa Hamisa,chezea mapenzi bwana.

View attachment 3039887View attachment 3039888
Hakuna cha offer nyingi
Hizo propaganda
 
Mamilioni anayolipwa yanabaki hapahapa Bongo kwa kuhonga 😂😂😂
Sji ndio vizuri mwanawane....hamisa akianzisha biashara watanufaika wengi hapa bongo.
Ila la muhimu zaidi wabongo tunataka mbegu ya ki....hilo ni jambo la taifa tena ikibidi wizara husika limpe mbinu namna gani afanye ili jamaa atuachie mtoto hapa wa kiume anayejua boli
 
Back
Top Bottom