Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
naamini, yanga au meneja wa aziz ametafuta mkataba mzuri kumtangaza aziz na mobeto ili asifaidike tu kwenye mpira ila kwenye advertisements. ndio lengo la kumweka mobeto, anaweza akapata pesa nyingi zaidi ya zile za kucheza. au nimewaza vibaya?