π€£π€£π€£π€£ Aisee kumbe rick ross nae kadinya hapo. Kweli tusake helaKama aliweza beba tani za Rick Ross sembuse Aziz K
Mchek Steve Nyerere ndie dalali wa used bongoπ€£π€£π€£π€£ Aisee kumbe rick ross nae kadinya hapo. Kweli tusake hela
Ok sasa tatizo hapo utaambiwa ulipe million kumi mie mwenyewe ata ningekuwa nazo tatizo kibamia changu so wala sitafaidiMchek Steve Nyerere ndie dalali wa used bongo
Ukiwa boya utauziwa gazette la juzi kwa pesa hioOk sasa tatizo hapo utaambiwa ulipe million kumi mie mwenyewe ata ningekuwa nazo tatizo kibamia changu so wala sitafaidi
Ah weww mbususu zote hizi gazeti la juzi....Ukiwa boya utauziwa gazette la juzi kwa pesa hio
Umepigwa kamba umejaa πππ€£π€£π€£π€£ Aisee kumbe rick ross nae kadinya hapo. Kweli tusake hela
Hujui nguvu ya mbususu wewe....mfalme wa england aliachia madaraka kisa mbususu na ilikuwa sura mbayaKwa pesa anazolipwa Aziz K pale Yanga sidhani kama angeshindwa kumvuta Hamisa popote mm naona ni maamuzi ya mchezaji mwenyewe.
Wapo wanawake ila Mobeto hana hadhi ya kusema kwamba anaweza kumshawishi Aziz kubaki nchini
Hamisa lazima atavuta mpunga mrefu sana kwa GSM kazi aliyofanya ya kumpumbaza huyu chaijaba siyo ya kitoto, sijui limbwata la wapi hilo.Kuna video na picha zinatrend mitandaoni zikionesha Mchezaji wa Yanga na Hamisa Mabeto wakiwa katika dimbwi zito la mapenzi katika uwanja wa mazoezi
Licha ya ofa kubwa kutolewa kwa Aziz Ki bado akaona asingemuacha Mabeto mbali ya mboni ya macho yake
Sifa nyiiingi kwa injinia kumbe sivyo ,sifa ziende kwa Hamisa,chezea mapenzi bwana.
View attachment 3039887View attachment 3039888
Sisi tunaita ukwareKwetu tunaita "kiranga".
England alikuwa mweusi sasaHujui nguvu ya mbususu wewe....mfalme wa england aliachia madaraka kisa mbususu na ilikuwa sura mbaya
Makinikia siyo?Mchek Steve Nyerere ndie dalali wa used bongo
Ndumba zipoKwa pesa anazolipwa Aziz K pale Yanga sidhani kama angeshindwa kumvuta Hamisa popote mm naona ni maamuzi ya mchezaji mwenyewe.
Wapo wanawake ila Mobeto hana hadhi ya kusema kwamba anaweza kumshawishi Aziz kubaki nchini
Hao wengine hawaonekani mobeto anaonekana at the end ni lazima achukue kombe,but street zipo brand new kibaoKwa pesa anazolipwa Aziz K pale Yanga sidhani kama angeshindwa kumvuta Hamisa popote mm naona ni maamuzi ya mchezaji mwenyewe.
Wapo wanawake ila Mobeto hana hadhi ya kusema kwamba anaweza kumshawishi Aziz kubaki nchini
Huyu alikuwa hamli Caren alikuwa anamla shogaake na Careen na nilisikia ana mimba..anaitwa Vee sijui VanesaSiamini km Aziz Ki ni mshamba wa mapenzi hivyoo, na km issues ni Misa, si angeenda tyuu huko kwenye offa alizopewa, na angemfata huko huko.
Misa mwenyewe anavyopenda kuswampaaa? Woiiiiiih
Afu huyu Domo na Caren imeishia wapiii? Lol
π π π π ashukuriwe Hamisa kwa kumbakisha Ki uswaziDj sindikiza huu uzi na ngoma ya ally kiba....mapenzi yana run dunia
Yaani watanzania wanajua kuruka na jambo chap kwa harakaWatu wanafanya matangazo wanapiga mpunga, nyie msiojua mnaipa biashara promo kama hivi...