Kumbe Aziz Ki kilichombakiza Tanzania ni Hamisa Mobeto? Licha ya ofa kibao zilizotolewa na timu kubwa Afrika zikatupwa kisa mwanamke

Hapa mpira ndiyo umekwisha kabisa, unaacha maendeleo kumuendekeza changu tena changu aliyekubuhu ushirikina na asiye na faida kwa mwanaume?
 
Nadhhani unanogesha jamvi tuuh,sieti!?
 
Nimesoma comments zote kisha nikabaini wabongo ni watu wanaosumbuliwa sana na wivu wa kimapenzi.
 
Hiyo ya mobeto ni propaganda za kipumbavu ukweli ni kwamba hakukuwa na ofa ya maana iliyokuja kwa azizi k,hawezi kukataa milioni 90 ang'ang'anie hela ya kipuuzi yanga.wakati kwa uwezo wake sidhani kama anamiaka mitano mbele aendelee kuwana uwezo wake kama alivyokuwa nao sasa.
Muda utaongea
 
Hii ya Mobeto ni kwa ajili ya vilaza ambao ndio wengi nchi hii.
Aziz amebaki yanga kwa pesa za ufisadi anazolipwa kwa siri ili wachezaji wenzake na watanzania wenye akili za kula ugali wasijue
 
Sasa wewe unamlalamikia aziz ki kuachana na donge nono kwa timu za nje sababu ya hamisa sasa angeenda hamisa ungemshughulikia wew?
 
Chezea mapenzi
 
Kula maisha kijana
 
Wanawake wanaroho ngumu sana jamani.
 


Kwani asingeweza mbeba
 
Mob ni public comodity (chawote)
Samson na Delilah
Adam na Eva
Aziz na Mobeto😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…