Akija kustuka atajishangaa sana kwa nini hakwenda kupalilia career yake. Waafrica achana nao kabisa!!!! Yaani jamaa anafuata mahali ambapo sukari ilitupwa, atajuta baadaye.
Huko alikotakiwa kwenda angeenda kupotea na kurudi tena kwenye mpira WA Tanzania isingekuwa rahisi Ila ni rahisi yeye kutoka yanga baada ya hii miaka mwili kwenda tena kuchezea huko ambako wanamhuhitaji hivi SAsa bado kuna ishu ya muunganiko huko anakotakiwa kwenda ni kama alivyo kuja yanga
Ishu ya pili Ki alifurahishwa zaidi na project ya yanga ya kutwaa ubingwa Wa Africa ndio maana alisema nikisha maliza hiyo project na Engineer basi natomba ruhusa ya kuondoka.
Ishu ya Tatu ambayo ni pamoja na hiyo ya Mobeto ni masala ya kijamii,kataa kubali,ukarimu WA watanzania uko Juu Sana na pia kukua Kwa ligi yetu kunawavutia wachezaji wengi sana kubakia na kuipenda ligi ya Tanzania Kwa hiyo mi binafsi asilimia ya Mobeto kumbakisha Ki ni ndogo Sana.Mbona Mayele Kwa Wolper alipiga mzigo na kusepa kasepa!