Kumbe baadhi ya viduka vya iPhone vilivojaa mjini ni center za ku-push madawa na bangi

Kumbe baadhi ya viduka vya iPhone vilivojaa mjini ni center za ku-push madawa na bangi

JAMANI SIMSAGII KUNGUNI MTU YEYOTE, NIMESEMA HIVI KAMA TAHADHARI KWA WASIO JUA, USIPENDE KUSHINDA KWENY HAYO MADUKA KAMA WEWE SIO MHUSIKA, KUNA SIKU POLISI WANAFANYA RAID KWENY HAYO MADUKA NA WEWE UTAUNGANSHWA KWENY HIZO BIASHARA KUMBE HATA HAUHUSIKI.
 
Heri ya mwaka mpya.

Hii kitu nilishawahi kuambiwa na mtu flani nikapinga, nikasema maybe huyu jamaa ana chuki na wivu na jitihada za vijana wajasirimali.

But baada ya kufikiria zaidi, it made so much sense, but sikuwa na uhakika 100%

Sasa kuna siku nilikuwa nimekaa na washkaji tunapiga story tunabadilishana mawazo, sasa hawa wanangu nawajua ni watumiaji wa bangi, sasa wakataka niwape lift wakachukue mzigo, fresh tukaingia kwenye gari tukaanza safari, sasa tulivofika (sinza) wakanielekeza nipaki mbele ya duka flani ivi la iPhone, washkaji wakatoka wakaingia kwenye hilo duka, mimi nilibaki kwenye gari.

Baada ya dakika 20 wakarudi bhana, nikawauliza "vipi mmepata" jamaa wakanijibu "uhakika kaka" nikajisemea kimoyomoyo "kumbe jamaa alienambia hivi viduka vya iPhone vina push hakukosea".

My take;
Vijana wenzangu tuweni makini, kupendapenda shortcut utaishia kujisaidia kwenye ndoo.
Na maduka Mengi ya Nguo.
 
Back
Top Bottom