Kumbe bado yupo Jela huyu Manju wa R&B?

Ungesema ni mtuhumiwa wa ubakaji sio mbakaji,kuhusu Kutolewa wakati wa Corona mbona nchi nyingi tu watu wameachiwa kwa sababu hiyo,hata hapa Tz,na hakuomba aachiwe jumla,aliomba awekwe' lock up ya nyumbani'
KUNA SEHEMU NIMESEMA KUWA NI MWENYE HATIA? MI NIMESEMA NI MBAKAJI ACHA SHERIA ICHUKUE MKONDO WAKE, YEYE NANI ATOKE WAKATI WA CORONA?? [emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…