SK2016
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 8,016
- 13,780
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu Leo kuna mtu anasema mahakama za nchi kama marekani zinatenda haki.Inasemekana aliomba atolewe Jela sababu ya Corona,(wamshikilie akiwa nyumbani) Majaji wamekataa!
Storm is not over yet!View attachment 1429940View attachment 1429941
Sent using Jamii Forums mobile app
HUYU ALIKUWA MBAKAJI KAMA WABAKAJI WENGINE SHERIA NI MSUMENO
Halafu Leo kuna mtu anasema mahakama za nchi kama marekani zinatenda haki.
Wamejawa na uonevu chuki na unyonyaji kwa watu weusi.. Mtu mweusi yeyote akiwa na mafanikio hawachelewi kumbambikia kesi
Sent using Jamii Forums mobile app
Una ushahidiHUYU ALIKUWA MBAKAJI KAMA WABAKAJI WENGINE SHERIA NI MSUMENO
Umesema kwa uchungu sana, nami pia naunga hoja mkono!/ papuchi hizi!!Papuchi hizi asee
Ufahamu wa mambo ya kisheria ni mgumu, msameheUngesema ni mtuhumiwa wa ubakaji sio mbakaji,kuhusu Kutolewa wakati wa Corona mbona nchi nyingi tu watu wameachiwa kwa sababu hiyo,hata hapa Tz,na hakuomba aachiwe jumla,aliomba awekwe' lock up ya nyumbani'
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati si milele... Ila bata alilokula huyu mwana si mchezo... Avumilie tuu kukichwa kutapambazukaInasemekana aliomba atolewe Jela sababu ya Corona,(wamshikilie akiwa nyumbani) Majaji wamekataa!
Storm is not over yet!View attachment 1429940View attachment 1429941
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati si milele... Ila bata alilokula huyu mwana si mchezo... Avumilie tuu kukichwa kutapambazuka
Jr[emoji769]
Kumbe kosa lake kubwa ni kughushi cheti cha kuzaliwa cha binti aliyempa mimba akiwa na miaka 15 ili kisomeke 18 ili amuoe aepukane na kifoHatimaye miaka thelathini jela,pole sana kwake,lakini pole zaidi kwa wahanga wa matendo yake maovu