Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
K3si za michongo, n kweli alifanya, lakini watasha wamemkamatia ktk weakness yake,,, alikuwa anakuja juu mno,,, lazima Kuna something behind the scene ambayo hatuwezi kufahamu kwa sasa.Namkubali pia ila ambacho sielewi ni kwamba anafanyiwa figisu au ana makosa kweli alifanya huko nyuma?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jela ni mbaya ukiangalia picha ya juu na ya chini tofauti kabisaInasemekana aliomba atolewe Jela sababu ya Corona,(wamshikilie akiwa nyumbani) Majaji wamekataa!
Storm is not over yet!View attachment 1429940View attachment 1429941
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama alifanya anastahili adhabu,hayo mengine ni ziada tu hakuna namnaK3si za michongo, n kweli alifanya, lakini watasha wamemkamatia ktk weakness yake,,, alikuwa anakuja juu mno,,, lazima Kuna something behind the scene ambayo hatuwezi kufahamu kwa sasa.
Mastaa wengi wanafanyaga makosa Kama yake,, lakini nadhani Kuna mahala hakwenda Kama walivotaka wao, ndio maana wakatafuta n mahala gani Yuko na weakness ili kumpatia aibu na kumpoteza.
Macy Gray n' Jah RuleDah washkaji zake sijui wanasemajeView attachment 2282351
30 yrsKa fungwa kwa mda gani??