Kumbe biashara ngumu sana

nguvu za giza na biashara....biashara haitaweza kudumu.
Hivi unawajua wahindi wewe au unawasikia
Mi nilishawahi ona wahindi wakieka hela kwenye shimo wakachinja paka wakazika na hela humohumo..
Kuna watu wanafanya biashara kama wahindi bongo..
Haya mambo yapo na watu wanafanikiwa ila siyo ya kufanya
How much does it cost you? It costs everything
 
Bila kizizi kutoboa ni kazi sana......
 
Waulize wajuzi wa mambo wakwambie...........
kwahiyo inamaana wafanyabishara waliofanikiwa wote wanafanya hayo mambo?
 
Hii ipo ipoje mzee mbona kama imekaa powa Sana'a
 
Mkuu trust me hapo kwenye iyo barbershop kuna kitu hakipo sawa...swala la ndumba na kufanikiwa kwenye biashara halipo....kuna mtu mmoja ninamfahamu alikuwa na biashara yake akawa analalamika kuwa haiendi vizuri na kudai kuwa majirani zake wanatumia ndumba kuvuta wateja wake...kwa kuwa ni ndugu yangu nilikaa pale kwenye biashara na nikagundua tatizo ni yeye mwenyewe mwenye biashara...kuna vitu vilikuwa haviendi vizuri but tatizo ni yeye mwenyewe...usitegemee ndumba kwenye biashara...kuwa innovative utatoboa
 
Thanks
actually mm pia naamin hata bila ndumba mambo yaweza kwenda na ndio maana bado nawaza namna ya kutatua hii changamoto
 
You have to protect you're business.........that is all about business...

Kijana nimekuelewa Sana. Hawa watu wanaokataa na Kubisha kuna mawili

1. Watoto wa Mama Sanaa (Hawajawahi face and deal the streets on their own) - Daddy Mommy Type.

2. Hawako familiar with the struggle and what people are capable of doing to make their dreams come TRUE. Wanachukulia kila mtu ni hoya hoya. Na ipo siku watajifunza the hard way. (Sishangai maana niliwahi kuwa kama wao)

So wanadhani biashara ni kuweka tu mpunga and OFF you Go. *KLMY* bado hela hamuijui nyie.

Siku zote katika utafutaji lazima utie ulinzi (ribiti katika anga zako za utafutaji) sio watu wanakuja kutumia anga zako kifala fala na we upo upo tu.

Na siku mkija either kustuka anaye divert upepo wako ndio siku mtakayo zaliwa upya kifikra na kimtazamo juu ya haya maisha.

Talking of being holy, Mimi nimeimba hadi kwaya kanisani ndio maana nikasema Mungu yupo na issue za kienyeji zipo (Hakuna anayetaka kuumiza mtu na hela ya hivyo siitaki). Isipokuwa lazima utumie kitu ili mambo yaende.

...Ebana acheni nyie. In the past 10 years of my grind nimeona mengi sanaa.
 
Mimi nina toa sababu kwani nini unafanya biashara na hufanikiwi, wapi Kuna pesa na wapi amna.....nieleweke hivo ushauri wangu ni mzuri kabisa.
1. Kwanza unatakiwa ujue wateja wako ni nani na wa aina gani?

2. Mwitikio wa wateja ukoje na biashara yako.
Hapa nazungumzia mteja sio mpita njia au nazungumzia mtu mwenye uhitaji na yuko tayari kusaidiwa bidhaa au huduma na wewe yeye sasa anachukulia vipi biashara yako anasema nini, kitu gani kipo anachotaka na kipi anakosa hapo, yeye anataka kiweje, je ameridhika na huduma.
je wapo wateja wenye kutamani huduma yako ila Bei au lipo tatizo la kukufikia.

3. Soko tu ndiyo linapo kwamisha wengi jifunze kuhusu soko na timing.
Hapa angalia wapi bidhaa yako au fursa ina uhitaji zaidi.
Kuna kitu kinaitwa uhitaji na uhitaji zaidi scarcity ya kitu angalia uhitaji zaidi hiyo zaidi ndio profit faida.

4. Mwisho uza bidhaa yenye uhitaji zaidi hata kama ina faida ndogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…