Gien Banks
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 336
- 887
60% naamini biashara bila ya ndumba huwezi kutoboa na kama huwezi ndumba basi uwe na imani Kali kweli kweli bila kuyumba!
Mkuu kama kuna docho la maana unalijua tuambiane. [emoji1488]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
60% naamini biashara bila ya ndumba huwezi kutoboa na kama huwezi ndumba basi uwe na imani Kali kweli kweli bila kuyumba!
Ukiwaza kuwa umelogwa unakuwa umelogwa kweli hata ukijikwaa utasema ni kwakuwa umelogwa na sio kwasababu umetembea vbaya., kwenye biashara hvyo hivyo unataka uwe na mtaji mdogo ila mauzo ufanane na aliyekuzidi mtaji.,Mkuu kama kuna docho la maana unalijua tuambiane. [emoji1488]
Ukiwaza kuwa umelogwa unakuwa umelogwa kweli hata ukijikwaa utasema ni kwakuwa umelogwa na sio kwasababu umetembea vbaya., kwenye biashara hvyo hivyo unataka uwe na mtaji mdogo ila mauzo ufanane na aliyekuzidi mtaji.,
Hakuna wa kukubadilisha zaidi ya wewe mwenyewe., kijanana mwenye ubongo unaofanya kaz sawasawa hawez kufikiri kuwa amelogwa kama hajafanya 'marking' ya kutosha. Ktk biashara.
Mwisho: kwa umri wako na akili yako je ni kweli kuwa waganga wote hawapendi wafanye biashara nao watajirike kama jeff besos? Au unaamini kuwa Aliko danfots yeye ni tajiri kwakuwa aliloga?
Hii sio ligi chief hapo juu nimekuwekea facts na mwisho kuna maswali nimeuliza. Bado hujanijibu ila umeniuliza swali., na swali lenyewe cjalielewa. Umri wangu ktk biashara au umri wangu nilioishi mpaka sasa?Kaka mi ni mpambanaji kuliko unavyo dhani ila nakuambiaje hizi mambo zipo acha league Joh. Sema watu hawasemi na hzi mambo zinafanywa kwa siri sana. Amini nachokuambia.
Una umri gani ??
Save This Date & Hour utaja nikumbuka siku.
Daaah umeandika siasa nyingi mno apa kaka duuhBiashara ngumu kwasababu...
1 • haujui kuuza
2 • unajaribu kuuza huduma/bidhaa watu wasizohitaji
3 • bidhaa/huduma yako haiongezi thamani kwa wanunuzi
4 • hauna Authority katika aina ya biashara unayofanya kwahiyo hakuna anayejali kuhusu business yako.
Mkuu, sasa hivi ukifanya business kwakufuata mitindo ya kizamani utafail na kuendelea kufail
Sasa hivi mambo yamebadilika we play by new rules/tricks
Watu huku wamewekeza thousands of [emoji383][emoji383] bila kujua watapata vipi wateja wakununua huduma zao.
Wanajutaaa.
Sales pamoja na Innovation ndiyo vitu vya msingi kabisa kwenye Business.
Ukifail kwenye kuuza maana yake hakuna revenue. Na kama huna revenue hakuna profit.
Simple.
Amna Mzee me sielewi hizo harakati...sema kuna wanangu wanaamini hizo vitu ila ukiwauliza hawakupi jibu sahihi...ishu ni kujiongeza tu wewe kama weweMkuu kama kuna docho la maana unalijua tuambiane. [emoji1488]
Sio enzi za Mkwere biashara zilikuwa sana ila utawala huu mpaka sisi wauza majeneza tunaisoma nambaKwa mara ya Akwanza nimejaribu kufanya biashara serious. Aisee yapata mwezi sasa ila sijawahi ona faida.
Nimeamini ukiona mtu amefanikiwa kwenye biashara mheshimu sana.
Eee man ...wadau wanasema kazi na dawaNdio nilichokuwa nasema mm hapo juu. Hizi mambo zipo bana. Mimi mpaka nafunguka hapa ni kwamba nimeyaona. Hahaha
Jamani mwenye upendo wa dhati anifungukie fundi wa uhakika inbox. Ahsante
Acha nionekane sio ila mm napigania haki na maslahi yangu Joh. Unafki Sipendi.
Kwa hyo mkuu unataka kusema siku hizi watu wamegoma kufa au wanazikana vipi?Sio enzi za Mkwere biashara zilikuwa sana ila utawala huu mpaka sisi wauza majeneza tunaisoma namba
na finance management ni muhimu sanaBiashara ngumu kwasababu...
1 • haujui kuuza
2 • unajaribu kuuza huduma/bidhaa watu wasizohitaji
3 • bidhaa/huduma yako haiongezi thamani kwa wanunuzi
4 • hauna Authority katika aina ya biashara unayofanya kwahiyo hakuna anayejali kuhusu business yako.
Mkuu, sasa hivi ukifanya business kwakufuata mitindo ya kizamani utafail na kuendelea kufail
Sasa hivi mambo yamebadilika we play by new rules/tricks
Watu huku wamewekeza thousands of [emoji383][emoji383] bila kujua watapata vipi wateja wakununua huduma zao.
Wanajutaaa.
Sales pamoja na Innovation ndiyo vitu vya msingi kabisa kwenye Business.
Ukifail kwenye kuuza maana yake hakuna revenue. Na kama huna revenue hakuna profit.
Simple.
msaada wa kichawi au wa kiMungu chief?Hahaha Mleta Mada Bado Mtoto Sanaa.
It needs a lot of courage and perseverance kuwa entrepreneur.
Hamnaga hela Rahisi Joh
Sema Ndugu Zangu (Jokes Aside)
Amini nawaambieni Uchawi Upo na Mungu Yupo.
Kama kuna mtu anajua docho la tiba za kienyeji la uhakika tuambiane maana mi mwenyewe kuna wakati si elewi elewi kabisa yani.
Unaweza ukawa in a very potential location, ume make capital yako from other sources (let say udalali) faida uka invest kwenye biz nyingine na umeweka kila kitu ila still biz inakuwa haitoki.
Mimi kwa kweli sipendi unafki lazima ipo siri bana. Please, Mwenye msaada wa dhati tuambiane inbox (PM). Hahahaha (Im Serious)
nguvu za giza na biashara....biashara haitaweza kudumu.Nilifungua banda la chips mambo yakawa hivi:
Nikawaajili madogo wawili wakawa wanasimamia,
Siku ya kwanza madogo wakaniambia wameuza elf 48 na viazi vimeisha, kwa kifupi biashara ilikuwa poa
Siku ya pili madogo wakanikabidhi elf sitin na kitu (achilia mbali ganji zao na zile ndogo ndogo walizokuwa wananipiga)...nikajua mambo ni mazuri...
Bwanaweee..!!!!
Mauzo yakaanza kupungua,
Mara wameuza elfu 20,
Mara wameuza elf kumi na kitu
Mara chips na mishikaki vimelala
Mara mauzo hayafiki hata elf kumi...nikiwauliza vijana kulioni ,wananiambia hata wao hawajui
Siku ya siku dogo mmoja ambaye ndo kama alikuwa incharge pale..akaniambia ameenda kwa mtaalam ameambiwa banda limepigwa giza..na jamaa mmoja hivi ambaye nae alikuwa na banda lake la chips karibu yetu...nikachoka kabisa
Dogo akaniambia inabidi nasisi tukawange ila mambo yaende vizuri...sababu sikutilia maanani biashara ika-collapse kabisa..
Nikafungua saloni ya kiume...mambo yakawa yale yale naishia tu kulipa kodi ya chumba (maana nilikuwa napewa elf 28 kwa wiki..ambapo per day ni elf 4)..salon ipo mpaka sasa lakini kiujumla mambo ni magumu...
Nikafungua na kijiwe cha kuchoma vyuma (welding workshop) nako naona hali ni tete
Lakini nikiwauliza wadau..wanasema hizi ngoma bila kupuliza ni mziki
Biashara ukiiendea kichwakichwa unapoteza time and resources at the same time.
Hili jibu la ki desa desa kabisaa mzee.Hata hujaelewa uzi inawezekanaBiashara ngumu kwasababu...
1 • haujui kuuza
2 • unajaribu kuuza huduma/bidhaa watu wasizohitaji
3 • bidhaa/huduma yako haiongezi thamani kwa wanunuzi
4 • hauna Authority katika aina ya biashara unayofanya kwahiyo hakuna anayejali kuhusu business yako.
Mkuu, sasa hivi ukifanya business kwakufuata mitindo ya kizamani utafail na kuendelea kufail
Sasa hivi mambo yamebadilika we play by new rules/tricks
Watu huku wamewekeza thousands of [emoji383][emoji383] bila kujua watapata vipi wateja wakununua huduma zao.
Wanajutaaa.
Sales pamoja na Innovation ndiyo vitu vya msingi kabisa kwenye Business.
Ukifail kwenye kuuza maana yake hakuna revenue. Na kama huna revenue hakuna profit.
Simple.
Dah kaka umenigusa sanaa.Haya mambo uloambiwa ya wataalamu na nn ma mm nimetoka kuambiwa hivyo hivyo jumapoil ilopita baada ya kwenda ofisn kwangu kutaka kujua what is wrong with business.Kijana wangu ambae nimemweka hapo Barbershop akaanza kuja na stori hizo hizo.Am real getting a hars time ukizangatia hizo mambo mm sipo kabisaa.Nilifungua banda la chips mambo yakawa hivi:
Nikawaajili madogo wawili wakawa wanasimamia,
Siku ya kwanza madogo wakaniambia wameuza elf 48 na viazi vimeisha, kwa kifupi biashara ilikuwa poa
Siku ya pili madogo wakanikabidhi elf sitin na kitu (achilia mbali ganji zao na zile ndogo ndogo walizokuwa wananipiga)...nikajua mambo ni mazuri...
Bwanaweee..!!!!
Mauzo yakaanza kupungua,
Mara wameuza elfu 20,
Mara wameuza elf kumi na kitu
Mara chips na mishikaki vimelala
Mara mauzo hayafiki hata elf kumi...nikiwauliza vijana kulioni ,wananiambia hata wao hawajui
Siku ya siku dogo mmoja ambaye ndo kama alikuwa incharge pale..akaniambia ameenda kwa mtaalam ameambiwa banda limepigwa giza..na jamaa mmoja hivi ambaye nae alikuwa na banda lake la chips karibu yetu...nikachoka kabisa
Dogo akaniambia inabidi nasisi tukawange ila mambo yaende vizuri...sababu sikutilia maanani biashara ika-collapse kabisa..
Nikafungua saloni ya kiume...mambo yakawa yale yale naishia tu kulipa kodi ya chumba (maana nilikuwa napewa elf 28 kwa wiki..ambapo per day ni elf 4)..salon ipo mpaka sasa lakini kiujumla mambo ni magumu...
Nikafungua na kijiwe cha kuchoma vyuma (welding workshop) nako naona hali ni tete
Lakini nikiwauliza wadau..wanasema hizi ngoma bila kupuliza ni mziki
Biashara ukiiendea kichwakichwa unapoteza time and resources at the same time.