Kumbe biashara ngumu sana

Kumbe biashara ngumu sana

Kijana nimekuelewa Sana. Hawa watu wanaokataa na Kubisha kuna mawili

1. Watoto wa Mama Sanaa (Hawajawahi face and deal the streets on their own) - Daddy Mommy Type.

2. Hawako familiar with the struggle and what people are capable of doing to make their dreams come TRUE. Wanachukulia kila mtu ni hoya hoya. Na ipo siku watajifunza the hard way. (Sishangai maana niliwahi kuwa kama wao)

So wanadhani biashara ni kuweka tu mpunga and OFF you Go. *KLMY* bado hela hamuijui nyie.

Siku zote katika utafutaji lazima utie ulinzi (ribiti katika anga zako za utafutaji) sio watu wanakuja kutumia anga zako kifala fala na we upo upo tu.

Na siku mkija either kustuka anaye divert upepo wako ndio siku mtakayo zaliwa upya kifikra na kimtazamo juu ya haya maisha.

Talking of being holy, Mimi nimeimba hadi kwaya kanisani ndio maana nikasema Mungu yupo na issue za kienyeji zipo (Hakuna anayetaka kuumiza mtu na hela ya hivyo siitaki). Isipokuwa lazima utumie kitu ili mambo yaende.

...Ebana acheni nyie. In the past 10 years of my grind nimeona mengi sanaa.
funguka uliyoyaona ndugu, ili nasi tupate uzoefu wa kutosha
 
leta mrejesho mkuu
kwa sasa mtaji umerudi kwa kasi ya ajabu, japo ilikua kwa tabu, mbinde na mateso ila nimefanikiwa kuurudisha mtaji wa biashara mahala pake, next phase ni kuikuza biashara yangu nayo nitaikuza kwa japo kwa mbinde vivyo hivyo.

nilichojifunza ni kwamba ukiamua kufanya kitu na ukiweka focus lazima utafanikiwa kwa hali yoyote ile.

katika hili la kukuza biashara yangu pia nitaleta mrejesho.
 
kwa sasa mtaji umerudi kwa kasi ya ajabu, japo ilikua kwa tabu, mbinde na mateso ila nimefanikiwa kuurudisha mtaji wa biashara mahala pake, next phase ni kuikuza biashara yangu nayo nitaikuza kwa japo kwa mbinde vivyo hivyo.

nilichojifunza ni kwamba ukiamua kufanya kitu na ukiweka focus lazima utafanikiwa kwa hali yoyote ile.

katika hili la kukuza biashara yangu pia nitaleta mrejesho.
safi sana mkuu
 
Business za kibongo lakini, ulaya ni kanuni tu ndio zinatembeza bishara. Ukikwama kwenye kufata kanuni sahihi ujue umekwisha. Mambo ya kishoga ya kutumia hirizi na mapembe yapo Africa tu.
hata Tanzania ni kanuni tu zitafanya biashara yako inawiri mkuu, kuamini ndumba ni tatizo kubwa sana, mfano hata pale unapokosea kwenye uendeshaji wa biashara na ulitakiwa kurekebisha ili biashara iende sawia hutofanya hivyo kwani utaamini ni kwasababu umefanyiwa ndumba na biashara itazidi kudidimia.
unauza bidhaa zako bei kubwa, wateja wanavuka duka lako wanapanga foleni duka la jirani utaendelea kuamini jamaa anatumia ndumba.
ndumba zipo ila si za kuzihofia wala kuzipa nafasi kubwa kwenye mambo yako., iwe kwa kuamini au kuzitumia.
 
Nilifungua banda la chips mambo yakawa hivi:
Nikawaajili madogo wawili wakawa wanasimamia,
Siku ya kwanza madogo wakaniambia wameuza elf 48 na viazi vimeisha, kwa kifupi biashara ilikuwa poa
Siku ya pili madogo wakanikabidhi elf sitin na kitu (achilia mbali ganji zao na zile ndogo ndogo walizokuwa wananipiga)...nikajua mambo ni mazuri...
Bwanaweee..!!!!
Mauzo yakaanza kupungua,
Mara wameuza elfu 20,
Mara wameuza elf kumi na kitu
Mara chips na mishikaki vimelala
Mara mauzo hayafiki hata elf kumi...nikiwauliza vijana kulioni ,wananiambia hata wao hawajui
Siku ya siku dogo mmoja ambaye ndo kama alikuwa incharge pale..akaniambia ameenda kwa mtaalam ameambiwa banda limepigwa giza..na jamaa mmoja hivi ambaye nae alikuwa na banda lake la chips karibu yetu...nikachoka kabisa
Dogo akaniambia inabidi nasisi
tukawange ila mambo yaende vizuri...sababu sikutilia maanani biashara ika-collapse kabisa..

Nikafungua saloni ya kiume...mambo yakawa yale yale naishia tu kulipa kodi ya chumba (maana nilikuwa napewa elf 28 kwa wiki..ambapo per day ni elf 4)..salon ipo mpaka sasa lakini kiujumla mambo ni magumu...

Nikafungua na kijiwe cha kuchoma vyuma (welding workshop) nako naona hali ni tete
Lakini nikiwauliza wadau..wanasema hizi
ngoma bila kupuliza ni mziki
Biashara ukiiendea kichwakichwa unapoteza time and resources at the same time.
umemaliza
 
Nilifungua banda la chips mambo yakawa hivi:
Nikawaajili madogo wawili wakawa wanasimamia,
Siku ya kwanza madogo wakaniambia wameuza elf 48 na viazi vimeisha, kwa kifupi biashara ilikuwa poa
Siku ya pili madogo wakanikabidhi elf sitin na kitu (achilia mbali ganji zao na zile ndogo ndogo walizokuwa wananipiga)...nikajua mambo ni mazuri...
Bwanaweee..!!!!
Mauzo yakaanza kupungua,
Mara wameuza elfu 20,
Mara wameuza elf kumi na kitu
Mara chips na mishikaki vimelala
Mara mauzo hayafiki hata elf kumi...nikiwauliza vijana kulioni ,wananiambia hata wao hawajui
Siku ya siku dogo mmoja ambaye ndo kama alikuwa incharge pale..akaniambia ameenda kwa mtaalam ameambiwa banda limepigwa giza..na jamaa mmoja hivi ambaye nae alikuwa na banda lake la chips karibu yetu...nikachoka kabisa
Dogo akaniambia inabidi nasisi
tukawange ila mambo yaende vizuri...sababu sikutilia maanani biashara ika-collapse kabisa..

Nikafungua saloni ya kiume...mambo yakawa yale yale naishia tu kulipa kodi ya chumba (maana nilikuwa napewa elf 28 kwa wiki..ambapo per day ni elf 4)..salon ipo mpaka sasa lakini kiujumla mambo ni magumu...

Nikafungua na kijiwe cha kuchoma vyuma (welding workshop) nako naona hali ni tete
Lakini nikiwauliza wadau..wanasema hizi
ngoma bila kupuliza ni mziki
Biashara ukiiendea kichwakichwa unapoteza time and resources at the same time.
umemaliza,,wasomi watakubishia wakat ata practical hawajafanya..
 
hata Tanzania ni kanuni tu zitafanya biashara yako inawiri mkuu, kuamini ndumba ni tatizo kubwa sana, mfano hata pale unapokosea kwenye uendeshaji wa biashara na ulitakiwa kurekebisha ili biashara iende sawia hutofanya hivyo kwani utaamini ni kwasababu umefanyiwa ndumba na biashara itazidi kudidimia.
unauza bidhaa zako bei kubwa, wateja wanavuka duka lako wanapanga foleni duka la jirani utaendelea kuamini jamaa anatumia ndumba.
ndumba zipo ila si za kuzihofia wala kuzipa nafasi kubwa kwenye mambo yako., iwe kwa kuamini au kuzitumia.
kwa komenti yako hii inaonyesha we ni muajiriwa,,you dont have any f*"$ experience in bussiness
 
Mrejesho
nililipa kodi ya miezi mitatu nikaanza biashara,
Mzigo wa kwanza tu nikapewa hovyo, nikala loss, mtaji ukapungua sana,
nikabaki na nusu mtaji, nikafuata mzigo wa pili tena, nao yakawa yale yale, mzigo hovyo, mtaji ukawa unapumulia mashine.
mzigo wa tatu mambo yakawa hovyo zaidi, biashara ipo ICU,
nimebakiza mwezi mmoja na nusu kulipa kodi nyingine ila naona kila dalili ya kushindwa kulipa hata kodi ya pango.
ila yote kwa yote hizo failure zimenipa somo zuri sana. hata kama hii biashara ikifeli nitarudi tena na naamini nitakua THE GREATEST.
MWEZI JUNE nikumbusheni nilete mrejesho.
 
kwa komenti yako hii inaonyesha we ni muajiriwa,,you dont have any f*"$ experience in bussiness
na mawazo yako inaonyesha unaamini sana ushirikina, itakuwia vigumu sana kupeleka biashara zako next level, utaishia biashara za genge tu.
 
na mawazo yako inaonyesha unaamini sana ushirikina, itakuwia vigumu sana kupeleka biashara zako next level, utaishia biashara za genge tu.
naona umeachiwa weekend unabweka tu....hahaaahhaa dogo ungekua mfanyabiashara hayo makitu wala usingebisha...ok endelea na tgts zako
 
Business za kibongo lakini, ulaya ni kanuni tu ndio zinatembeza bishara. Ukikwama kwenye kufata kanuni sahihi ujue umekwisha. Mambo ya kishoga ya kutumia hirizi na mapembe yapo Africa tu.
sasaa wazungu ndo wachawi kinyama
 
Nilifungua banda la chips mambo yakawa hivi:
Nikawaajili madogo wawili wakawa wanasimamia,
Siku ya kwanza madogo wakaniambia wameuza elf 48 na viazi vimeisha, kwa kifupi biashara ilikuwa poa
Siku ya pili madogo wakanikabidhi elf sitin na kitu (achilia mbali ganji zao na zile ndogo ndogo walizokuwa wananipiga)...nikajua mambo ni mazuri...
Bwanaweee..!!!!
Mauzo yakaanza kupungua,
Mara wameuza elfu 20,
Mara wameuza elf kumi na kitu
Mara chips na mishikaki vimelala
Mara mauzo hayafiki hata elf kumi...nikiwauliza vijana kulioni ,wananiambia hata wao hawajui
Siku ya siku dogo mmoja ambaye ndo kama alikuwa incharge pale..akaniambia ameenda kwa mtaalam ameambiwa banda limepigwa giza..na jamaa mmoja hivi ambaye nae alikuwa na banda lake la chips karibu yetu...nikachoka kabisa
Dogo akaniambia inabidi nasisi
tukawange ila mambo yaende vizuri...sababu sikutilia maanani biashara ika-collapse kabisa..

Nikafungua saloni ya kiume...mambo yakawa yale yale naishia tu kulipa kodi ya chumba (maana nilikuwa napewa elf 28 kwa wiki..ambapo per day ni elf 4)..salon ipo mpaka sasa lakini kiujumla mambo ni magumu...

Nikafungua na kijiwe cha kuchoma vyuma (welding workshop) nako naona hali ni tete
Lakini nikiwauliza wadau..wanasema hizi
ngoma bila kupuliza ni mziki
Biashara ukiiendea kichwakichwa unapoteza time and resources at the same time.
Pole sana mkuu.
 
N
Biashara ngumu kwasababu...

1 • haujui kuuza

2 • unajaribu kuuza huduma/bidhaa watu wasizohitaji

3 • bidhaa/huduma yako haiongezi thamani kwa wanunuzi

4 • hauna Authority katika aina ya biashara unayofanya kwahiyo hakuna anayejali kuhusu business yako.

Mkuu, sasa hivi ukifanya business kwakufuata mitindo ya kizamani utafail na kuendelea kufail

Sasa hivi mambo yamebadilika we play by new rules/tricks

Watu huku wamewekeza thousands of [emoji383][emoji383] bila kujua watapata vipi wateja wakununua huduma zao.

Wanajutaaa.

Sales pamoja na Innovation ndiyo vitu vya msingi kabisa kwenye Business.

Ukifail kwenye kuuza maana yake hakuna revenue. Na kama huna revenue hakuna profit.

Simple.
Afanye nini sasa?
 
Back
Top Bottom