Kumbe bilionea Bakhresa na Adani Gautam kuwekeza Tanzania lilikuwa ni hitaji la Hayati Mwl. Nyerere!

Kwa hiyo umetumwa uje utetee utapeli wa adani hapa jukwaani
 
Ukiona ccm wanapigia upatu PPP ujue serekali iko hoi kugharamia miradi mikubwa

Setrkali kama Ina vyanzo vya uhakika vya mapato hakuna haja ya PPP

Sasa linachotokea ni kuwa ccm wameuza rasilimali zote nchi Haina mapato

Wana haha kufinance miradi next financial year ndo eti wamekuja na ubunifu wa PPP

Sisi wenye nchi tunasema
Maccm mnaojimilikisha rasilimali za wananchi mzirudishe haraka. Kabla hatujazirudisha kwa nguvu
 
Tatizo mwenye uelewa mdogo anaposoma mawazo yako anaingia kichwa kichwa anaamini anachokisoma, linakuwa ni taifa lenye wajinga wengi wanaoongozana kila siku.

Hakuna rasilimali ya nchi yenye kuweza kuuzwa, ni biashara za kupangishana na kukodishana zenye lengo la kuongeza pato la taifa.

Ule uzembe kuwa kichaka na sisi wenyeji kupewa nafasi za kuendesha mashirika na taasisi halafu mwisho wa siku tija haipo na wizi mkubwa unaendelezwa, unakwenda ukifikia mwisho wake.
 
China ndio inaongoza kwa PPP duniani, Unamaini Gani kuhusu hili
 
Marehemu huwa hasemwi kwa mabaya
Ukiwa kiongozi ni tofauti,

Watu watakusoma kwenye historia, then watajifunza mazuri yako na mabaya yako

Hii itasaidia kuendelea mazuri yako kama kiongozi na kujiepusha na mabaya yako kama kiongozi,

Unafiki wetu ndo unatufanya tuendelee kurudia makosa yaleyale.

Tuache unafiki, tumpongeze kwa mazuri yake na tujiepushe na mabaya yake
 
Mabaya kama yapi kwa mfano?
Nyerere alikuwa ni binadamu wa tofauti sana tujifunze kutoka kwake.
 
Ninaimani sana na Bwana David Kafulila
 
Nyerere bwana"haambiliki"
 
CHADEMA mmekuwa kama vichwa😆
 
Kafulila kama Nyerere
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…