kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,229
- 11,531
Kwa hio wazo lilikua linamsubiri nani aje alifanye?kua na wazo ni jambo jingine na kulitimiza wazo ni jambo jingine.Hakuja na hilo wazo, lilikuwepo tangu enzi za Nyerere.
Watz ukiwasikiliza wana mawazo mengi tu mazuri ila kuyafanya sasa hayawezekani .
Miaka yote mnazunguka mbuyu tu oooh mazingira mazingira 🤣