Kumbe bwawa la Nyerere yalikuwa maono, Kenya yafunga mkataba wa miaka 25 kununua umeme wa bwawani kutoka Ethiopia

Kumbe bwawa la Nyerere yalikuwa maono, Kenya yafunga mkataba wa miaka 25 kununua umeme wa bwawani kutoka Ethiopia

Hakuja na hilo wazo, lilikuwepo tangu enzi za Nyerere.
Kwa hio wazo lilikua linamsubiri nani aje alifanye?kua na wazo ni jambo jingine na kulitimiza wazo ni jambo jingine.

Watz ukiwasikiliza wana mawazo mengi tu mazuri ila kuyafanya sasa hayawezekani .
Miaka yote mnazunguka mbuyu tu oooh mazingira mazingira 🤣
 
Back
Top Bottom