kopites JF-Expert Member Joined Jan 28, 2015 Posts 9,229 Reaction score 11,531 Nov 20, 2022 #41 Yoda said: Hakuja na hilo wazo, lilikuwepo tangu enzi za Nyerere. Click to expand... Kwa hio wazo lilikua linamsubiri nani aje alifanye?kua na wazo ni jambo jingine na kulitimiza wazo ni jambo jingine. Watz ukiwasikiliza wana mawazo mengi tu mazuri ila kuyafanya sasa hayawezekani . Miaka yote mnazunguka mbuyu tu oooh mazingira mazingira 🤣
Yoda said: Hakuja na hilo wazo, lilikuwepo tangu enzi za Nyerere. Click to expand... Kwa hio wazo lilikua linamsubiri nani aje alifanye?kua na wazo ni jambo jingine na kulitimiza wazo ni jambo jingine. Watz ukiwasikiliza wana mawazo mengi tu mazuri ila kuyafanya sasa hayawezekani . Miaka yote mnazunguka mbuyu tu oooh mazingira mazingira 🤣