Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
😂😂😂nimeona...nux sana yaan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂nimeona...nux sana yaan
Alafu Uzi umekaa toka Jana mchana ndo wanakuja kuufuta saiz[emoji23][emoji23][emoji23]nimeona...nux sana yaan
Alafu hilo jicho lako kwenye avatar nalifananisha na rafiki yangu mmoja hivi[emoji23][emoji23][emoji23]nimeona...nux sana yaan
Alafu hilo jicho lako kwenye avatar nalifananisha na rafiki yangu mmoja hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa ila wana fanana sana na Dada yangu jina lake nancyDuniani wawili wawili mzee baba
sawa sawa
Ndo yeye au siyo yeye jina lake jingine herufi za mwishon zinaishia na yazasawa sawa
Ndo yeye au siyo yeye jina lake jingine herufi za mwishon zinaishia na yaza
Sent using Jamii Forums mobile app
Nop kumbe hujanielewa sijazungumzia wewe nimezungumzia hiyo picha kwenye avatar yakosio mimi mkuu..
mbona kama unazingua babulai,umekuja kuwaje dingii
Bhebhe nyanda unamaanisha fisi mwekundu?Ndo yeye au siyo yeye jina lake jingine herufi za mwishon zinaishia na yaza
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeSura imemkomaa kama sokwe mxieew
Sent from my iPhone using JamiiForums
Imeandikwa wana macho ila hawataonaMkuu naomba niuone huo ubichi kabla sijaondoa shilingi
Aisee yamekuwa hayo tenaMtoa mada umeharibu kuweka hizo picha za udj, bora ungeweka hiyo ya ma makeup lakini hizo za udj zinaonesha jinsi alivyokomaa kuanzia mikono hadi mgongo