Kumbe Diamond Karanga Diamond ni balozi! Mali ni ya Joseph Kusaga

ata diamond ni umri wa mwanao ila anakuajili wewe na ukoo wako wote kuwa na adabu wewe loser
Hahhahaa bora umambie,kizee lakini kimejenga CHUKI ya ajabu kwa kijana na mafanikio yake.Hawa wanawivu maana katika rika lao walikua wanapishana guest tu
 
Huu uandishi wako huwa wa hovyo sana kama hulka za mchattle na grace wake bashite

Sasa mimi andika hivyo kwa admirer wangu wewe umia nini.. hujui mimi yeye kwa forums tunatoka mbali tangu maneno machafu yeye tupia mimi sababu ya RC. Yeye elewa mimi tosha kabisa.. weye kuelewa labuda uwe unatusoma posys zetu humu.. hivyo tulia ndugu
 
Mmh unaishi nchi gani ndg?
 

Never be envious of what someone else has. You don't know the price they paid to get it, and you don't know the price they are paying to keep it.

No matter how big or how small it is.
 
Wasafi Music - Miundombinu yote Joseph na kampuni ya Jose inayohusika na Digital ndo inayoisimamia

Wasafi Radio Freequance/Miundombinu - Joseph, Tale, Fela, Salam, Diamond, Harmonize wana hisa ila Jo anahisa nyingi kote huko

Diamond Karanga - Ya Wahindi kampuni yao inaitwa Smart


Pamoja na hayo Diamond anapaswa kupongezwa kwa Ushirika wake wa kibiashara.
 
 
Wasafi Music - Miundombinu yote Joseph na kampuni ya Jose inayohusika na Digital ndo inayoisimamia

Wasafi Radio Freequance/Miundombinu - Joseph, Tale, Fela, Salam, Diamond, Harmonize wana hisa ila Jo anahisa nyingi kuliko wote.

Chibu Perfume - Joseph, Diamond

Diamond Karanga - Ya Wahindi kampuni yao inaitwa Smart Joseph kawaunganisha

Katika Biashara zote hizi Joseph ana hisa kubwa.

Pamoja na hayo Diamond anapaswa kupongezwa kwa Ushirika wake wa kibiashara.
 
Mange amewaharibu sana vijana wa kitanzania, baada y kubuñi mbinu za kujiingizia kipato wao wamekalia umbea tu. Kqma Diomond amepata dili na wewe tafuta fulsa upewe hata mradi wa kuuza bamia tu
Kabisa mkuu.

Mond angemkaza tu.
 
Kwani kuna sehemu amewahi sema yeye ni mmiliki wa hicho kiwanda cha karanga au jengo?
Cha msingi diamond sio staa maarafu masikini... hiyo ngoma ya ruge na bashite iwe kweli iwe uongo wao ni watu wazima hawawezi fanya kitu bila maslahi, cha msingi jina lake linampa pesa maneno mengine analishwa na mashabiki sababu ya uteam team.
 
Ana impact kwa wajinga kama wewe,

Ngoja tumuite kwenye Barimi atufanyie Promo ya Balimi na Banana tuone misukule yake mwitikio wenu.

hapa unamuongelea diamond na bidhaa ya diamond basi na wewe ni mjinga kwa kuingia jwenye impact ya diamond
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…