fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,372
- 4,090
Hahhahaa bora umambie,kizee lakini kimejenga CHUKI ya ajabu kwa kijana na mafanikio yake.Hawa wanawivu maana katika rika lao walikua wanapishana guest tuata diamond ni umri wa mwanao ila anakuajili wewe na ukoo wako wote kuwa na adabu wewe loser
Ok nilidhani umeona kipengele cha mkataba
Huu uandishi wako huwa wa hovyo sana kama hulka za mchattle na grace wake bashite
Vipi chibu perfumes nayo ya kwake???...na ule mjengo aliotuonesha juzi wa wasafi tv na fm wakwake???
Ngoja ninunue labda hata nitapata kibajajiSaa nadhani ni 22000 au 21000 mwezi wa kumi na mbili zilipanda kidogo kutoka na uhaba na promotion ila huwa ni vizuri mi mwenyewe dukani mara kdhaa vimenitia hasara
Mmh unaishi nchi gani ndg?Sasa mimi andika hivyo kwa admirer wangu wewe umia nini.. hujui mimi yeye kwa forums tunatoka mbali tangu maneno machafu yeye tupia mimi sababu ya RC. Yeye elewa mimi tosha kabisa.. weye kuelewa labuda uwe unatusoma posys zetu humu.. hivyo tulia ndugu
Wasafi Music - Miundombinu yote Joseph na kampuni ya Jose inayohusika na Digital ndo inayoisimamia
Wasafi Radio Freequance/Miundombinu - Joseph, Tale, Fela, Salam, Diamond, Harmonize wana hisa ila Jo anahisa nyingi kuliko wote.
Chibu Perfume - Joseph, Diamond
Diamond Karanga - Ya Wahindi kampuni yao inaitwa Smart Joseph kawaunganisha
Katika Biashara zote hizi Joseph ana hisa kubwa.
Pamoja na hayo Diamond anapaswa kupongezwa kwa Ushirika wake wa kibiashara.
Kabisa mkuu.Mange amewaharibu sana vijana wa kitanzania, baada y kubuñi mbinu za kujiingizia kipato wao wamekalia umbea tu. Kqma Diomond amepata dili na wewe tafuta fulsa upewe hata mradi wa kuuza bamia tu
Kwani kuna sehemu amewahi sema yeye ni mmiliki wa hicho kiwanda cha karanga au jengo?Mkuu tunampenda sana Diamond lakini ya ukweli yasemwe. Ile ofisi mpya ya WCB hawajanunua ila wamepangisha. Lengo ni kufungua WCB TV ambayo mmiliki wake kwa 100% ni Bashite.
Katika vita ya Ruge na Bashite nae ameamua kuanzisha media industry kwenye 'makoa wake'. Diamond anatumika lakini mafahali yanayopigana ni Ruge na Bashite
Ruge amekuwa mstaarabu sana kwenye hili
Zimefikia wapi hizo kapelo?Walimdharau alikiba alipotoa kofia cjui mnaita kapelo
Ana impact kwa wajinga kama wewe,
Ngoja tumuite kwenye Barimi atufanyie Promo ya Balimi na Banana tuone misukule yake mwitikio wenu.
Kwema?Subalkheyr!!
Mods wameshindwa kuficha ID yako!Kwani da mange kasemaje? Ficha ID yangu please