Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,313
- 12,170
Tuligombana/kutoelewana me na wewe!?..Tumeanza kuelewana sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuligombana/kutoelewana me na wewe!?..Tumeanza kuelewana sasa
Kwa kweli owners kabugi, hizibtaatifa zikisambaa soko litashuka tu.hapo ndo owner kataka kuharibu soko la karanga zake
Mkuu mimi sio team wcb wala nini??Wcb for life
Waambie mkuuKwani kuna siku ashawahi kusema c zake????
Nani alisemaga zake??Sawa lakini tumekubaliana si zake yeye ni balozi si ndio?
Wanawake si watu kwani?Mkuu mimi sio team wcb wala nini??
Lakini sioni sababu ya kuwa na chuki kwa kijana mwenzako anayefanya jitihada za kufanikiwa.
Kuhusu biashara kuwa yake au isiwe yake hilo ni juu yake naa mikataba yake ya biashara.
Sasa inapotokea mtu analeta chuki kisa diamond kamzidi mafanikio huu tunaita ni uzwazwa na tabia za kishoga na kike
Nani amekwambia wanawake sio watu??Wanawake si watu kwani?
Sijasoma! Na sina mpango huo, sijui wewe mwenzangu umesomea nini tafadhaliMkuu samahani wewe profession yako ni ipi?..Yani kama umesoma ulisomea nini!?
Ukawe na Weekend njema![emoji2]Sijasoma! Na sina mpango huo
sina uhakika huo kwasbb hakuna chanzo sahihi kilichotoa taarifa hiyo imekuja kama udakuSawa lakini tumekubaliana si zake yeye ni balozi si ndio?
Acha fiksiOyeeeee
Wawekezaji hao wamepewa kampuni ya karanga na wadaku.. makubwa ambayo labda wamekubali kuwekeza watu hawataki kujua hata kama kuna ajira.. wanataka kumsema Chibu tu huku yeye pesa zinaingia benki.. ndio nchi yetu hii ina watu wengi kitukoooo
Sikumbuki.
afu ziitwe kusaga karanga afu ukifungua unakuta karanga nzima nzima
Acha uongo
afu ziitwe kusaga karanga afu ukifungua unakuta karanga nzima nzima
Zitashuka kwa sababu zipi? Zile karanga zinajiuza kwa utamu wake na siyo kwa sababu ya Naseeb.Kwa kweli owners kabugi, hizibtaatifa zikisambaa soko litashuka tu.
Wee mwenzangu umesomea nini tafadhaliUkawe na Weekend njema![emoji2]
Mkuu kwani yeye kua balozi hanufaiki chochote? Ufake uko wapi hapa? Unamjua mmiliki wa Bellaire? Wangapi wanaisimamia kama bidhaa yao?Kwa wale wabishi, kuwa karanga zinatumia jina la Diamond sijui brand hizi karanga zinaitwa Diamond Karanga miaka na miaka, wamebadilisha rangi ya packet tu na kurembesha zaidi ila jina la Diamond Karanga ni la miaka yao yote ila zinatengenezwa na kampuni ile ile ya miaka yote.
![]()
Ni kwamba Kusaga alinunua ubia kwenye hiko kiwanda then akamleta Diamond aje amfanyie promotion.
Na ndo maana wenye karanga zao baada ya tifu wametoa siri kuwa Diamond ni balozi wao tu, sasa nyinyi bado mnafosi tuu.
Jamani kubalini matokeo na ukweli kujulikana na msogee mbele zaidi. Cha maana tujifunze kutokunyali wasanii wengine bila kuujua ukweli wa utajiri wa wasanii wetu.
Huyu kijana anafake sana life.
kabla ya diamond izo karanga hakuna aliyezijua wala azikuwa na wateja kabisa achen wivu wa kimama nyie wangaZitashuka kwa sababu zipi? Zile karanga zinajiuza kwa utamu wake na siyo kwa sababu ya Naseeb.
Cocacola leo hata wakisimamisha matangazo yote huwezi kushusha soko lao.
Misukule ya wcb mna matatizo sana.