Kumbe Diamond Karanga Diamond ni balozi! Mali ni ya Joseph Kusaga

Kumbe Diamond Karanga Diamond ni balozi! Mali ni ya Joseph Kusaga

Mkuu tunampenda sana Diamond lakini ya ukweli yasemwe. Ile ofisi mpya ya WCB hawajanunua ila wamepangisha. Lengo ni kufungua WCB TV ambayo mmiliki wake kwa 100% ni Bashite.

Katika vita ya Ruge na Bashite nae ameamua kuanzisha media industry kwenye 'makoa wake'. Diamond anatumika lakini mafahali yanayopigana ni Ruge na Bashite

Ruge amekuwa mstaarabu sana kwenye hili
Unaonyesha ni mfuasi mzuri wa Mange
 
Hata WASAFI sio yake ni ya Ruge, wale watoto na Zari sio wake ni wa Katunzi na Ivan, yule na Hamisa Mabito ni wa Majizo. Nyumba zote anazopiga picha sio zake ni za Le Mutuz. Yaani huyu Diamond ni bure kabisa. Kiki tu kama pikipiki.
HAHAHAAA dogo wanamsakamaga kinoma kwa machuki yao ya kijinga daaah
 
Mkuu tunampenda sana Diamond lakini ya ukweli yasemwe. Ile ofisi mpya ya WCB hawajanunua ila wamepangisha. Lengo ni kufungua WCB TV ambayo mmiliki wake kwa 100% ni Bashite.

Katika vita ya Ruge na Bashite nae ameamua kuanzisha media industry kwenye 'makoa wake'. Diamond anatumika lakini mafahali yanayopigana ni Ruge na Bashite

Ruge amekuwa mstaarabu sana kwenye hili
Ukifanikiwa weqe ntakunya online maneke watu kama nyie mmm
 
Diamond ana washauri, wanasheria na wadau wengine wenye weledi, sidhani kama wanaweza kumuacha akaingia mkenge kwenye issues za matangazo n.k kwa watu wengine, as other thinkers they judge...!
 
Binafsi sipendi kuongelea watu na mambo ya wasanii lakini hili limenigusa sana sana.

Kama mnakumbuka namna mr Nice alivyokuwa akiishi maisha ya kuigiza,steven kanumba hivyo ivyo pamoja na wasanii wengine sikuua kama msanii mahiri kama Diamond akiingizwa katika ujinga huo huo na wasaka pesa.

Kutokana na ugomvi wa chini chini baina ya kundi la WCB na Clouds media hasa chanzo kikiwa ni mradi wa redio na tv..sasa akina kusaga wameweka wazi kuwa zile Karanga za Diamond Karanga ni mali ya kampuni ya Clouds na Diamond ni balozi tu.

Nimeumia sana,maana nimekuwa nikimuona diamond kama kijana anayesaka fursa licha ya kutokuwa na elimu ya kutosha.

Namuomba diamond afanye yake atatoboa badala ya maisha ya show.

--------------------\

Kipi kilichokuumiza?
Wacha unafiki ati nimeumia, mfyuuu
 
Mbona hizo karanga zilikuwepo hapo nyuma,
Zikiwa chini ya smart industry
Na baadae wakaingia mkataba wa kutumia jina la Diamond na zikaanza kuitwa Diamond karanga,

Kutoka hapo karanga zinauzwa kwa hali ya juu.

Na wala sijawahi kuona siku Diamond amesema ana kiwanda cha karanga.

Analipwa kwa kuvaa uhusika wa owner wa Diamond karanga na hiyo ni fursa aliyoiona.

Sasa wewe usiumie na mambo ya maisha yako umia na mtu anaingiza pesa zake.
Watanzania ni watu wa ajabu sana..

Hivi ikatokea wameambiwa Diamond anagawana nusu ya faida na mmiliki? Maana Diamond ndio anafanya hizi karanga ziuzwe!
 
Ingependeza mkaweka clip ambayo diamond alisema kuwa hizo ni karanga zake. Akili zenu zilivyoamua kufikiri lisiwe kosa la diamond, akili zenu zilijiaminisha kuwa karanga mi za Naseeb, alafu huyo dada yenu amakiri kuwa karanga hizo zilikiwapo toka kitambo ila zilikiwa hazijulikani mpaka alipozitangaza Diamond.
 
Kwa hiyo povu la nini??
Yaani uzi wote huu ni kwamba kumtakia mabaya jamaa, dah! Iwe zake au sio zake kuna tatizo lolote?? Kuna siku yeye alisema ni zake au sio zake??
Wanaume wa kike mnaongezeka kwa kasi ya ajabu sana.
Hahaha Povu la nini sasa mwanaume hawez kuwa wa kike mkuu.Jamaa balozi tuu
 
Mtu anakaa kabisa kusema Diamond afanye maamuzi magumu kuonyesha jinsi gani tulivyo wajinga!.. Hizo karanga hata kama zingekuwa za Ali Kiba sawa tu cha kujiuliza ni Diamond analipwa kiasi gani kuzitangaza!?.
Tumeanza kuelewana sasa
 
Back
Top Bottom