Kumbe Diamond Karanga Diamond ni balozi! Mali ni ya Joseph Kusaga

watu huwa wakiambiwa haya maneno uliyoysema ktk sentensi yako ya mwisho wanavimbisha midomo hatari..mimi binafsi nimewahi kuzila mnoo hizo karanga mwaka 2015 kabla diamond hajapewa huo ubalozi nakutngaza kuwa NI zakwakwe ..na pact moja ilikuwa ya uzwa sh.200
 
True lakini watu wamekuwa kama Walevi tuu
 
Yeezy ni za Kanye au Adidas? na Jordan ni za Michael Jordan au Nike? , ukiweza kuyajibu haya ndio utajua diamond yupo mbele ya mda na hamna sehemu diamond aliyosema karanga ni za kwake.
 
Yeezy ni za Kanye au Adidas? na Jordan ni za Michael Jordan au Nike? , ukiweza kuyajibu haya ndio utajua diamond yupo mbele ya mda na hamna sehemu diamond aliyosema karanga ni za kwake.
Kwani kuna sehemu.alisema si za kwake?
 
Kwahiyo ni Balozi wa Maisha, au?! Bado tuna kumbukumbu za kuambiwa hata Wasafi TV si yake, ni ya Kusaga na Diamond ana hisa 2% tu!!
 
Kumbe na wewe dada una upumbavu hivi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…