Kumbe Diamond Karanga Diamond ni balozi! Mali ni ya Joseph Kusaga

Na siku zote pamoja na umafia au ulafi wake wa pesa au kutumia fursa kupitia wasanii, lkn katika hali ya kawaida Ruge huwaga mtulivu sana. Yani yanayosemwa na wasinii kisha ukasikiliza Ruge atakachoongea unaweza kumuunga mkono Ruge. Hanaga papara, namkubali sana.
 
Pole ya nini sasa? Kwani yeye alijidanganya kwamba ni zake? Unaelewa maana ya kushare brand katika biashara? Ulikuwa na wivu na diamond? Hajawai kusema ni zake ni ww tu umechelewa kujua hilo
 
Tukiwambiaga wasanii wa bongo njaa mnabisha ngoja sasa wapate maradhi ndio utajua anapesa au hawana bakuli litakapoanza kupita mtaani
 
Kwan kuna shda mkuu..??kwan kma n kwel unajua makubaliano yao yakoje hadi ulalamike?
 
Sawa lakini si mali yake tumekubaliana
 
Hahaha mleta mada bonge la bwege , ukiwa yoyoyo shida mjini
 
Hahaha we utafurahi mi niongozane na mkeo halafu niseme wa kwangu?
 
Watasema hata wasafi ni ya kusaga!
Bahati nzuri Diamond huwa haongelei sana hizi issue. Wengi wanaoongea ni wale wasiomtakia mema!
Tafuteni kazi za kufanya!
Kwan kusema Diamond Karanga si mali ya chibu ni kutomtakia mema?
 
Sidhani kama huyu jamaa anatangaza bure hizo karanga,
naamini kuna mikataba,naamini kuna centi anapata hapo
kama kuna pesa anapata nayy ni sehemu ya mmiliki
 
Vipi chibu perfumes nayo ya kwake???...na ule mjengo aliotuonesha juzi wa wasafi tv na fm wakwake???
 
Huu uandishi wako huwa wa hovyo sana kama hulka za mchattle na grace wake bashite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…