Kumbe Diamond Platnumz ni mkali hivi?

Mlolongo

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2019
Posts
3,483
Reaction score
6,257
- Cheki anazinguliwa na boss mjapan Gotojo Naguteka


- Cheki anakula msoto na ngalawa Bagamoyo


- Cheki anahenya na rumbesa mitaa ya Buguruni malapa


- Mvua ikinyesha Tandu wanatambaa hadi ukutani


- Sio tandu tu,hadi vyura..


- Kaamua kuwa mwizi, liwalo na liwe


- seti kali kuliko zote... hapa sijui animation imetumika? cheki ile milipuko kule nyuma


- paka kajisevia samaki


- ukisikia "utaishia kunawa" ndio hii
 
Kwan maskini hawachori tattoo....afrika hii maskini wana tattoo kibao
Sio wale wa hohehae km jinsi Mond alivyoact kwenye hiyo video,maeneo ya vijijini huko kwenye maskini wa kutupwa kama Mond kwenye huo wimbo ukimkuta kachora sana Tattoo ni zile tattoo za korosho sio hizo za special ink,yaan mtu kula kwake tu kunamshinda anawezaje kuchora tattoo za gharama zaidi ya 50000???
 
Matattoo hayo hayaakisi maisha ya kimaskini sijui kwanini anashindwa kuyazibaga hili uhalisia uwe asilimia 100 si mara ya kwanza kutofanyiakazi suala hilo
Unadhani masikini hawachori tattoo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ