Kwan masikini hawachori tattoo... Afrika hii maskini wana tattoo kibaoMatattoo hayo hayaakisi maisha ya kimaskini sijui kwanini anashindwa kuyazibaga hili uhalisia uwe asilimia 100 si mara ya kwanza kutofanyiakazi suala hilo
๐๐๐๐ tayariHuyo demu sijui kama atapona
Na kilivyo kizuri kah kah kah kah!! Kwisha habari yake๐๐๐๐ tayari
Ni kazuri kweri kweri hiiiiihNa kilivyo kizuri kah kah kah kah!! Kwisha habari yake
Kwa huyo kitombile kameishaNi kazuri kweri kweri hiiiiih
Sio wale wa hohehae km jinsi Mond alivyoact kwenye hiyo video,maeneo ya vijijini huko kwenye maskini wa kutupwa kama Mond kwenye huo wimbo ukimkuta kachora sana Tattoo ni zile tattoo za korosho sio hizo za special ink,yaan mtu kula kwake tu kunamshinda anawezaje kuchora tattoo za gharama zaidi ya 50000???Kwan maskini hawachori tattoo....afrika hii maskini wana tattoo kibao
Hivi utu uzima ni upi? Daah wabongo bwana[emoji1].
Unadhani masikini hawachori tattoo?Matattoo hayo hayaakisi maisha ya kimaskini sijui kwanini anashindwa kuyazibaga hili uhalisia uwe asilimia 100 si mara ya kwanza kutofanyiakazi suala hilo