Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Jamaa ni fundi sio poa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mazee umeua sana.- Cheki anazinguliwa na boss mjapan Gotojo Naguteka
View attachment 2495505
- Cheki anakula msoto na ngalawa Bagamoyo
View attachment 2495506
- Cheki anahenya na rumbesa mitaa ya Buguruni malapa
View attachment 2495508
- Mvua ikinyesha Tandu wanatambaa hadi ukutani
View attachment 2495509
- Sio tandu tu,hadi vyura..
View attachment 2495510
- Kaamua kuwa mwizi, liwalo na liwe
View attachment 2495513
- seti kali kuliko zote... hapa sijui animation imetumika? cheki ile milipuko kule nyuma
View attachment 2495518
- paka kajisevia samaki
View attachment 2495520
- ukisikia "utaishia kunawa" ndio hii
View attachment 2495521
Ukishakuwa na Imani na msanii flani akija kutoa audio/video hata kama hujasikikiza/ kuona unajua tu litakuwa jiwe.Sasa mkuu umejuaje Kama Ni Kali wakati hujaangalia video ama kusikiliza audio, mbona Kama unatuchora?
Kwamba kila aliye na tattoo ni tajiri na kinyume chake???Matattoo hayo hayaakisi maisha ya kimaskini sijui kwanini anashindwa kuyazibaga hili uhalisia uwe asilimia 100 si mara ya kwanza kutofanyiakazi suala hilo
🤣🤣🤣🤣🤣VIDEO VIXEN NI PISI HASWAAAAAAAA. JAMAAA NI LAZIMA ALIIILAMBA. AFTER ASEEEEEE MAAANA HAZIKATAIGI HIZOOOOOO ASEEEEEEEEEEEE. AFUU KINA DEGREE DAH KIBICHIII
Wa mchongo.Sasa huyu boss mjapan mbona meno mabovu
Umemzidi nini diamond?huyu adui aliyeharibu akili za watoto kwa miziki yake ya kishetani ana haja hata ya kumjadili kwa greath thinkers kweli?