Mynd177
JF-Expert Member
- Dec 3, 2022
- 2,817
- 5,141
Alafu macho yake. si atakuwa anatumia mjani huyu.Sasa huyu boss mjapan mbona meno mabovu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu macho yake. si atakuwa anatumia mjani huyu.Sasa huyu boss mjapan mbona meno mabovu
Matajir bawangaiki na tatoo wao simple tu ila nyie na mimi masikini ndo mambo zetuMatattoo hayo hayaakisi maisha ya kimaskini sijui kwanini anashindwa kuyazibaga hili uhalisia uwe asilimia 100 si mara ya kwanza kutofanyiakazi suala hilo
Kwenye huo wimbo mimi sijaona sehemu yoyote aliyoonyesha kuwa yuko kijijini katika maisha unayosema wewe, kaonyesha yuko jijini (Dar) kabisa isipokuwa ni kwenye life la uswahilini.Sio wale wa hohehae km jinsi Mond alivyoact kwenye hiyo video,maeneo ya vijijini huko kwenye maskini wa kutupwa kama Mond kwenye huo wimbo ukimkuta kachora sana Tattoo ni zile tattoo za korosho sio hizo za special ink,yaan mtu kula kwake tu kunamshinda anawezaje kuchora tattoo za gharama zaidi ya 50000???
Siyo siri. Diamond ameleta mapinduzi kwenye tasnia.- Cheki anazinguliwa na boss mjapan Gotojo Naguteka
View attachment 2495505
- Cheki anakula msoto na ngalawa Bagamoyo
View attachment 2495506
- Cheki anahenya na rumbesa mitaa ya Buguruni malapa
View attachment 2495508
- Mvua ikinyesha Tandu wanatambaa hadi ukutani
View attachment 2495509
- Sio tandu tu,hadi vyura..
View attachment 2495510
- Kaamua kuwa mwizi, liwalo na liwe
View attachment 2495513
- seti kali kuliko zote... hapa sijui animation imetumika? cheki ile milipuko kule nyuma
View attachment 2495518
- paka kajisevia samaki
View attachment 2495520
- ukisikia "utaishia kunawa" ndio hii
View attachment 2495521
Nikuunganishe kwa simba bin laden ?Huyo demu sijui km atapona
Ukawaida wa wimbo ni upi?Nyimbo ya kawaida sema video iko Poa kinoma.
Hajawahi kukosea kwenye video Huyu kiumbe
Sina taste na wanaume aina yakeNikuunganishe kwa simba bin laden ?
Try meSina taste na wanaume aina yake
Hapana asanteTry me
Kwi kwi kwi kwanini huelewiiiiii, O my Gadooo, what can I do for you🤣🤣Zuchu sijakuelewa hata kidogo
HutojutiaHapana asante
Madhara ya kula tambuu.Sasa huyu boss mjapan mbona meno mabovu
Mesi tumuite Tajiri ama?.Matajir bawangaiki na tatoo wao simple tu ila nyie na mimi masikini ndo mambo zetu
Sasa mkuu umejuaje Kama Ni Kali wakati hujaangalia video ama kusikiliza audio, mbona Kama unatuchora?Nyimbo na video zote kali japo sijasikiliza Wala kutizama.