Kumbe Diamond Platnumz ni mkali hivi?

Kumbe Diamond Platnumz ni mkali hivi?

Matattoo hayo hayaakisi maisha ya kimaskini sijui kwanini anashindwa kuyazibaga hili uhalisia uwe asilimia 100 si mara ya kwanza kutofanyiakazi suala hilo
Matajir bawangaiki na tatoo wao simple tu ila nyie na mimi masikini ndo mambo zetu
 
Sio wale wa hohehae km jinsi Mond alivyoact kwenye hiyo video,maeneo ya vijijini huko kwenye maskini wa kutupwa kama Mond kwenye huo wimbo ukimkuta kachora sana Tattoo ni zile tattoo za korosho sio hizo za special ink,yaan mtu kula kwake tu kunamshinda anawezaje kuchora tattoo za gharama zaidi ya 50000???
Kwenye huo wimbo mimi sijaona sehemu yoyote aliyoonyesha kuwa yuko kijijini katika maisha unayosema wewe, kaonyesha yuko jijini (Dar) kabisa isipokuwa ni kwenye life la uswahilini.

Hapo Dar vijana wengi tu wana maisha ya kawaida na tattoo wamechora.
 
- Cheki anazinguliwa na boss mjapan Gotojo Naguteka
View attachment 2495505

- Cheki anakula msoto na ngalawa Bagamoyo
View attachment 2495506

- Cheki anahenya na rumbesa mitaa ya Buguruni malapa
View attachment 2495508

- Mvua ikinyesha Tandu wanatambaa hadi ukutani
View attachment 2495509

- Sio tandu tu,hadi vyura..
View attachment 2495510

- Kaamua kuwa mwizi, liwalo na liwe
View attachment 2495513

- seti kali kuliko zote... hapa sijui animation imetumika? cheki ile milipuko kule nyuma
View attachment 2495518

- paka kajisevia samaki
View attachment 2495520

- ukisikia "utaishia kunawa" ndio hii
View attachment 2495521
Siyo siri. Diamond ameleta mapinduzi kwenye tasnia.

Vijana wajifunze ya kuiga kama juhudi za dogo
 
Acheni masihara buana ngoma kali sana kuanzia ujumbe mpaka video na idea yake

Mwamba amerudi bonge la dude aiseee

Nyimbo haina matusi wala mbambamba video u aweza angalia na watoto au wazazi haina ukakasi kabisa


Nadhani kwa hapa amegusa maisha ya vijana wengi wa sasa hususani hari ya maisha tunayopitia kiuchumi a mahusiano
 
huyu jamaa pembeni ni nani tafadhali
Screenshot_20230126-101728_YouTube.jpg
 
Back
Top Bottom