Kumbe Diamond Platnumz ni mkali hivi?

Kumbe Diamond Platnumz ni mkali hivi?

Kifupi tuu ni kwamba hii nyimbo imeeleweka kwa haraka mnoo.
Inachezeka na kusikilizika.
 
huyu adui aliyeharibu akili za watoto kwa miziki yake ya kishetani ana haja hata ya kumjadili kwa greath thinkers kweli?
 
- Cheki anazinguliwa na boss mjapan Gotojo Naguteka
View attachment 2495505

- Cheki anakula msoto na ngalawa Bagamoyo
View attachment 2495506

- Cheki anahenya na rumbesa mitaa ya Buguruni malapa
View attachment 2495508

- Mvua ikinyesha Tandu wanatambaa hadi ukutani
View attachment 2495509

- Sio tandu tu,hadi vyura..
View attachment 2495510

- Kaamua kuwa mwizi, liwalo na liwe
View attachment 2495513

- seti kali kuliko zote... hapa sijui animation imetumika? cheki ile milipuko kule nyuma
View attachment 2495518

- paka kajisevia samaki
View attachment 2495520

- ukisikia "utaishia kunawa" ndio hii
View attachment 2495521
Mazee umeua sana.
 
Kwenye Industry ya sanaa hutakiwi kuwa wa vuguvugu kama umeamua kuwa wa maji baridi au ya moto ni poa kuliko hujulikani..


Huyu jamaa hajataka kuwa wa vuguvugu yaani kaingia mazima.
 
VIDEO VIXEN NI PISI HASWAAAAAAAA. JAMAAA NI LAZIMA ALIIILAMBA. AFTER ASEEEEEE MAAANA HAZIKATAIGI HIZOOOOOO ASEEEEEEEEEEEE. AFUU KINA DEGREE DAH KIBICHIII
 
Back
Top Bottom