Optimists
JF-Expert Member
- Oct 17, 2021
- 379
- 1,082
Simu yangu ilileta shida kidogo nikaenda kwa fundi simu kunibadilishia system charge yangu ya Google pixel akanipiga 25,000/= nikasema nianze kumuuliza maswali mengi jamaa hakua na hiyana, kwanza alinambia kanunua nyumba ya million 18, kwa mwezi hakosi million moja kama faida, alinambia na kushika Chaki kwangu koote siwezi kumfikia, ninachomzidi mimi ni kukopeshwa na serikali tu😄😄.
Nikaanza kumdadisi jamaa nilivyomuona alikua na vioo vya simu vyoote, vifaa vya simu kama Google pixel, iphone, samsung n.k alikua navyo, lakini kifaa alichokua anatumia kwenye ufundi ni dude flan la kupashia joto simu, pamoja na ammeter.
Vijana wangu mnaomaliza vyuo jikite kwenye ufundi wa vitu kama phone pamoja na laptop radio kila kitu, bei za ufundi unajipangia tu, tena kujifunza nadhani ukiongea na fundi haizidi laki 2, unamaliza na ujuzi pamoja na hela ya kuanzia maisha unakua nayo. Fundi alinambia siku akikosa saana ni 50,000/=
Nawasilisha.
Nikaanza kumdadisi jamaa nilivyomuona alikua na vioo vya simu vyoote, vifaa vya simu kama Google pixel, iphone, samsung n.k alikua navyo, lakini kifaa alichokua anatumia kwenye ufundi ni dude flan la kupashia joto simu, pamoja na ammeter.
Vijana wangu mnaomaliza vyuo jikite kwenye ufundi wa vitu kama phone pamoja na laptop radio kila kitu, bei za ufundi unajipangia tu, tena kujifunza nadhani ukiongea na fundi haizidi laki 2, unamaliza na ujuzi pamoja na hela ya kuanzia maisha unakua nayo. Fundi alinambia siku akikosa saana ni 50,000/=
Nawasilisha.