Kumbe GENTAMYCINE naye ni mzee wa "Hit & Run".

Kumbe GENTAMYCINE naye ni mzee wa "Hit & Run".

Wakuu mmeamkaje,


Jana katika pitapita zangu, nikakutana na maoni ya GENTAMYCINE kwamba: Ukiona anamwambia mwanamke "Nakupenda" ujue ni kwa ajili ya kumpanga tuuu...lengo ni ku"hit & run".

Nikawaza hivi wanaume huwa tunaongea lugha moja?? maana hata mimi na wengine na wengine na wengine agenda ni hiyo hiyo "HIT & fuuucking RUN".

Wanawake wamekosea wapi? kwanini wasijifunze na kubadilika? Utetezi wao niliouona ni kwamba: "...ooooh, unajua sisi ni wapole sana, ndio maana hatuzungumzi wala kukosoa!"

Hapa JF nimewahi kuhoji: Uanamke ni ulemavu? maana ukimwambia ukweli mwanamke anawahi kusema unanionea kwasababu mm ni mwanamke. Ninachoamini: the only difference between men & women is only Biological...nje ya hapo wote ni watafutaji na waganga njaa.

[HASHTAG]#WanawakeBadilikeni[/HASHTAG] [HASHTAG]#KuumaSioDili[/HASHTAG]
Binafsi siaminikatika hit n run. Demu akizingua namkata kama cancer, yaani kama vile simjui. Ila sifanyii uhuni.

Umetukosea adab real man ambao hatuamini ktk hit and run. Hit and run is for https://jamii.app/JFUserGuide boy, players n hoes.. real man tuna stay real na tuna amini ktk misimamo.

Kama wewe ni hit n run, hiyo ni ww, si wanaume wote.
 
lni ukweli mchungu, ila ulaya wameshaelewa...love, religion, politics...it's 100% business. kwanini mama aliyekuzaa ukimvunjia heshima anakulaani???
Kwa nn mpenz wako akikuchukia una mtukana una mind? Simple uchungu.
Mama anaona na kukuzaa kote , kukule kote lakin bado unamvunjia heshima yes.. out of hasira kali na laana inafuata.
 
Hit and run ni kaa ajili ya players, hoes and shit.

Mentality ya hit n run ni kwa ajili ya malaya..na unifaithful peopl ambao hawajiheshim na hawaheshimu watu wengine.

ndio maana ukimwi na magonjwa ya ajab hayaishi sababu ya mentality za kijinga kama hizi.
Stay faithful, kusa na partner mmoja . Akizingua mwache, take your time chukua mwingine. Hakuna aib ukiwa mwaminifu.

Na nyia akina dada ambao mnaongozwa na tamaa, kuweni makini. Hii mentality yenu yakusema bad boys ndio wazur inawaumiza sana, huwezi mbadilisha muhuni hata siku moja.

Unajua kabisa a boy ni muhuni lakin bado unampa moyo wako, akikuumiza unakuja kulaani wanaume wote hapa. ACHENI KUJIRAHISISHA WADADA
 
Hit and run ni kaa ajili ya players, hoes and shit.

Mentality ya hit n run ni kwa ajili ya malaya..na unifaithful peopl ambao hawajiheshim na hawaheshimu watu wengine.

ndio maana ukimwi na magonjwa ya ajab hayaishi sababu ya mentality za kijinga kama hizi.
Stay faithful, kusa na partner mmoja . Akizingua mwache, take your time chukua mwingine. Hakuna aib ukiwa mwaminifu.

Na nyia akina dada ambao mnaongozwa na tamaa, kuweni makini. Hii mentality yenu yakusema bad boys ndio wazur inawaumiza sana, huwezi mbadilisha muhuni hata siku moja.

Unajua kabisa a boy ni muhuni lakin bado unampa moyo wako, akikuumiza unakuja kulaani wanaume wote hapa. ACHENI KUJIRAHISISHA WADADA
Sawa
 
Tangu nabalehe sijawahi kumtamkia mwanamke eti "nakupenda" nabsijui kama itakaa itokee
 
Binafsi siaminikatika hit n run. Demu akizingua namkata kama cancer, yaani kama vile simjui. Ila sifanyii uhuni.

Umetukosea adab real man ambao hatuamini ktk hit and run. Hit and run is for **** boy, players n hoes.. real man tuna stay real na tuna amini ktk misimamo.

Kama wewe ni hit n run, hiyo ni ww, si wanaume wote.
real man....!!! mkuu tafuta hela, you will be more real.
 
Back
Top Bottom