Kumbe GENTAMYCINE naye ni mzee wa "Hit & Run".

Kumbe GENTAMYCINE naye ni mzee wa "Hit & Run".

Mkuu,

Ieleweke kwamba mimi ndio Msemaji wako hapa JF in case unapata ajali au ukaishiwa bundle...nikikuanzishia uzi maana yake I'm on Duty. Pia wewe bosi wangu hunitendea haki, hivi unaposifia Signature yako; mbona mm Signature yangu ya mwezi jana (MV bukoba; mwana CCM aliyeshauri watoboe hatimae ikazama...hizo ndo akili za CCM) mnona hukunipongeza/kunisifia? Ni kweli you have Brand ID, chunga tu mods wasifanye yao maana wakicheleweshewa mishahara ndo huwa na hasira, hawaangalii wewe ni nani, ni mwendo wa Ban au kumger IDs.

Nimefurahi na nashukuru kwa mara ya Kwanza kumpata Msemaji wangu ambaye ameamua Kujitambulisha rasmi tofauti na wale wengine wengi ambao ni Wasemaji ' Kificho ' wangu. Ila utambue tu kwamba Mshahara wako utajilipa mwenyewe tafadhali.
 
Hit and run ni kaa ajili ya players, hoes and shit.

Mentality ya hit n run ni kwa ajili ya malaya..na unifaithful peopl ambao hawajiheshim na hawaheshimu watu wengine.

ndio maana ukimwi na magonjwa ya ajab hayaishi sababu ya mentality za kijinga kama hizi.
Stay faithful, kusa na partner mmoja . Akizingua mwache, take your time chukua mwingine. Hakuna aib ukiwa mwaminifu.

Na nyia akina dada ambao mnaongozwa na tamaa, kuweni makini. Hii mentality yenu yakusema bad boys ndio wazur inawaumiza sana, huwezi mbadilisha muhuni hata siku moja.

Unajua kabisa a boy ni muhuni lakin bado unampa moyo wako, akikuumiza unakuja kulaani wanaume wote hapa. ACHENI KUJIRAHISISHA WADADA
Duuu umesema kweli kabisa,basi wenzio hujio a wajanja wakati upuuzi na wanakuwa wana matatizo
 
Nimefurahi na nashukuru kwa mara ya Kwanza kumpata Msemaji wangu ambaye ameamua Kujitambulisha rasmi tofauti na wale wengine wengi ambao ni Wasemaji ' Kificho ' wangu. Ila utambue tu kwamba Mshahara wako utajilipa mwenyewe tafadhali.
Ahahhahaah
 
Back
Top Bottom