Kumbe hakuna ugomvi ndani ya CHADEMA wako vizuri. CCM mjipange!

Kumbe hakuna ugomvi ndani ya CHADEMA wako vizuri. CCM mjipange!

Kumbe ni kweli umekuwapo mvutano mkubwa kati ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na Makamu wake Tundu Lissu.

Lakini mvutano huo sio ugomvi kama mnavyo aminishwa na wapiga propaganda wa CCM bali ni kuwa hawajakubaliana kitu kimoja na ni kwa manufaa ya chama.

Habari kutoka chanzo cha uhakika cha ndani kabisa ni kuwa Mbowe alitaka kweli kuachia kiti na amekuwa akimshawishi Lissu akubali kugombea nafasi hiyo kuu kabisa katika chama.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Wanachama, Viongozi CHADEMA wagawanyika kambi tofauti, hofu ya mpasuko yaongezeka

Lakini majibu ya Lissu ni kuwa yeye anaona Mbowe kwa sasa agombee tena nafasi hiyo na yeye ndio maana alitangaza mapema kutaka kugombea nafasi ya makamu mwenyekiti ili Mbowe aendelee kukiongoza chama kwenye mapambano ya katiba mpya na uchaguzi mkuu wa 2025 mwakani.

Haya malumbano ya maridhiano na Samia ni mkakati wa chama kumprove Samia kuwa aliwadanganya na amastahili aadhibiwe na wananchi.

Subirini muone tamko la chama ndio mtaamini CHADEMA imejaa watu wenye akili.

Mgogoro wa Lissu na Mbowe jiulizeni kwa nini upo kwenye maandiko ya maccm zaidi wakio gozwa na Fake pastor zaidi?
Vyovyote vile ambavyo itakuwa, CDM kama chama kikuu cha upinzani itabidi ifanye uchaguzi wa mwaka 2025 ili kirejee katika hadhi yake.

CCM inatuchukulia poa sanq, ndiyo inatuchukulia kihurahisi katika kila aina ya uchaguzi unaofanyika. Ni lazima sasa wajifunze na kuzielewa kanuni zote za uchaguzi kabla ya kufanya uchafuzi wao

Wakati umefika sasa kwa wao kumwaga ugali, nasi tumwage mboga ili heshima iwepo. Ni upuuzi na upumbavu mtu kila siku kulalamuka juu ya matendo yao ya kifedhuli wanayozidi kuyafanya.
 
Habari kutoka chanzo cha uhakika cha ndani kabisa ni kuwa Mbowe alitaka kweli kuachia kiti na amekuwa akimshawishi Lissu akubali kugombea nafasi hiyo kuu kabisa katika chama.📌🔨
Thanks Mshana Jr kwa kupiga nyundo maana imesaidia wale kina Tomaso kuamini
 
Hao CCM wa Tanganyika ambao bado hawaoni Tanganyika lina fanywa koloni la Zanzibar watatoka usingizini lini?
Huko ndani ya CCM ni lazima pawemo na migogoro, kwa hali hii iliyopo nchini sasa. Zanzibar kumetulia na serikali yake, vurugu zote zinafanywa Tanganyika na kuwaumiza waTanganyika.

Sasa kama wewe ni CCM unanufaika na kuwa ndani ya chama hicho na kufanya maamuzi ya kuwaumiza wenzio, liataachaje kukuumiza akili.
Mkuu Kalamu yaani nawashanga hata hao mawaziri walio BLM wanashindwa kumkatalia huu ujinga wa kufuta sherehe za uhuru wetu wa Tanganyika?
Ndio shida ya mawaziri wa "yes boss"
 
Mkuu Kalamu yaani nawashanga hata hao mawaziri walio BLM wanashindwa kumkatalia huu ujinga wa kufuta sherehe za uhuru wetu wa Tanganyika?
Ndio shida ya mawaziri wa "yes boss"
Baraza la Akina Kabudi hilo!
Katika hali ya kawaida kabisa unge tegemea mtu kama Kabudi angekuwa anasema jambo na kila mtu ndani ya baraza ange sikiliza, hata mwenyekiti wao! Lakini sasa angalia anavyo dhalilishwa!
 
Mbowe abaki MKiti na Tundu Lissu abaki Makamu MKiti na Mgombea Urais 2025. John Heche awe Katibu Mkuu na Mnyika awe msemaji wa Chama. Tundu Lissu atapambana kwenye Urais 2025 na Mgombea Urais Mwanaume Kijana kutoka CCM.
 
Naona huo "moto nyikani" mnausubiri kwa hamu sana huko mliko.
Inawezekana sana mbinu zenu za kuua vyama vya upinzani safari hii zikagonga ukuta!
Menyewe kwa menyewe alisikika mzee patel washaanza kugombea fito hao!
 
Kumbe ni kweli umekuwapo mvutano mkubwa kati ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na Makamu wake Tundu Lissu.

Lakini mvutano huo sio ugomvi kama mnavyo aminishwa na wapiga propaganda wa CCM bali ni kuwa hawajakubaliana kitu kimoja na ni kwa manufaa ya chama.

Habari kutoka chanzo cha uhakika cha ndani kabisa ni kuwa Mbowe alitaka kweli kuachia kiti na amekuwa akimshawishi Lissu akubali kugombea nafasi hiyo kuu kabisa katika chama.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Wanachama, Viongozi CHADEMA wagawanyika kambi tofauti, hofu ya mpasuko yaongezeka

Lakini majibu ya Lissu ni kuwa yeye anaona Mbowe kwa sasa agombee tena nafasi hiyo na yeye ndio maana alitangaza mapema kutaka kugombea nafasi ya makamu mwenyekiti ili Mbowe aendelee kukiongoza chama kwenye mapambano ya katiba mpya na uchaguzi mkuu wa 2025 mwakani.

Haya malumbano ya maridhiano na Samia ni mkakati wa chama kumprove Samia kuwa aliwadanganya na amastahili aadhibiwe na wananchi.

Subirini muone tamko la chama ndio mtaamini CHADEMA imejaa watu wenye akili.

Mgogoro wa Lissu na Mbowe jiulizeni kwa nini upo kwenye maandiko ya maccm zaidi wakio gozwa na Fake pastor zaidi?
Aliekuwa mbunge na meya wa Moshi,jafari Maiko,nae ni CCM?
 
Kumbe ni kweli umekuwapo mvutano mkubwa kati ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na Makamu wake Tundu Lissu.

Lakini mvutano huo sio ugomvi kama mnavyo aminishwa na wapiga propaganda wa CCM bali ni kuwa hawajakubaliana kitu kimoja na ni kwa manufaa ya chama.

Habari kutoka chanzo cha uhakika cha ndani kabisa ni kuwa Mbowe alitaka kweli kuachia kiti na amekuwa akimshawishi Lissu akubali kugombea nafasi hiyo kuu kabisa katika chama.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Wanachama, Viongozi CHADEMA wagawanyika kambi tofauti, hofu ya mpasuko yaongezeka

Lakini majibu ya Lissu ni kuwa yeye anaona Mbowe kwa sasa agombee tena nafasi hiyo na yeye ndio maana alitangaza mapema kutaka kugombea nafasi ya makamu mwenyekiti ili Mbowe aendelee kukiongoza chama kwenye mapambano ya katiba mpya na uchaguzi mkuu wa 2025 mwakani.

Haya malumbano ya maridhiano na Samia ni mkakati wa chama kumprove Samia kuwa aliwadanganya na amastahili aadhibiwe na wananchi.

Subirini muone tamko la chama ndio mtaamini CHADEMA imejaa watu wenye akili.

Mgogoro wa Lissu na Mbowe jiulizeni kwa nini upo kwenye maandiko ya maccm zaidi wakio gozwa na Fake pastor zaidi?
Thubutu! Labda umdanganye Erythrocyte!
 
Kumbe ni kweli umekuwapo mvutano mkubwa kati ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na Makamu wake Tundu Lissu.

Lakini mvutano huo sio ugomvi kama mnavyo aminishwa na wapiga propaganda wa CCM bali ni kuwa hawajakubaliana kitu kimoja na ni kwa manufaa ya chama.

Habari kutoka chanzo cha uhakika cha ndani kabisa ni kuwa Mbowe alitaka kweli kuachia kiti na amekuwa akimshawishi Lissu akubali kugombea nafasi hiyo kuu kabisa katika chama.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Wanachama, Viongozi CHADEMA wagawanyika kambi tofauti, hofu ya mpasuko yaongezeka

Lakini majibu ya Lissu ni kuwa yeye anaona Mbowe kwa sasa agombee tena nafasi hiyo na yeye ndio maana alitangaza mapema kutaka kugombea nafasi ya makamu mwenyekiti ili Mbowe aendelee kukiongoza chama kwenye mapambano ya katiba mpya na uchaguzi mkuu wa 2025 mwakani.

Haya malumbano ya maridhiano na Samia ni mkakati wa chama kumprove Samia kuwa aliwadanganya na amastahili aadhibiwe na wananchi.

Subirini muone tamko la chama ndio mtaamini CHADEMA imejaa watu wenye akili.

Mgogoro wa Lissu na Mbowe jiulizeni kwa nini upo kwenye maandiko ya maccm zaidi wakio gozwa na Fake pastor zaidi?
Lisu alishasema kuwa hawezi kugombea Uenyekiti kupingana na Mbowe....
 

Attachments

  • Tundu Lissu- 'Mimi sina Mpango wa kugombea uenyekiti wa CHADEMA, hakuna Mvutano kati yangu na ...mp4
    7.1 MB
Kumbe ni kweli umekuwapo mvutano mkubwa kati ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na Makamu wake Tundu Lissu.

Lakini mvutano huo sio ugomvi kama mnavyo aminishwa na wapiga propaganda wa CCM bali ni kuwa hawajakubaliana kitu kimoja na ni kwa manufaa ya chama.

Habari kutoka chanzo cha uhakika cha ndani kabisa ni kuwa Mbowe alitaka kweli kuachia kiti na amekuwa akimshawishi Lissu akubali kugombea nafasi hiyo kuu kabisa katika chama.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Wanachama, Viongozi CHADEMA wagawanyika kambi tofauti, hofu ya mpasuko yaongezeka

Lakini majibu ya Lissu ni kuwa yeye anaona Mbowe kwa sasa agombee tena nafasi hiyo na yeye ndio maana alitangaza mapema kutaka kugombea nafasi ya makamu mwenyekiti ili Mbowe aendelee kukiongoza chama kwenye mapambano ya katiba mpya na uchaguzi mkuu wa 2025 mwakani.

Haya malumbano ya maridhiano na Samia ni mkakati wa chama kumprove Samia kuwa aliwadanganya na amastahili aadhibiwe na wananchi.

Subirini muone tamko la chama ndio mtaamini CHADEMA imejaa watu wenye akili.

Mgogoro wa Lissu na Mbowe jiulizeni kwa nini upo kwenye maandiko ya maccm zaidi wakio gozwa na Fake pastor zaidi?
CCM DAIMA
 
Vyovyote vile ambavyo itakuwa, CDM kama chama kikuu cha upinzani itabidi ifanye uchaguzi wa mwaka 2025 ili kirejee katika hadhi yake.

CCM inatuchukulia poa sanq, ndiyo inatuchukulia kihurahisi katika kila aina ya uchaguzi unaofanyika. Ni lazima sasa wajifunze na kuzielewa kanuni zote za uchaguzi kabla ya kufanya uchafuzi wao

Wakati umefika sasa kwa wao kumwaga ugali, nasi tumwage mboga ili heshima iwepo. Ni upuuzi na upumbavu mtu kila siku kulalamuka juu ya matendo yao ya kifedhuli wanayozidi kuyafanya.
CCM DAIMA
 
Labda ACT ndo wajipange ila Sio Ccm
Wacha mihemko Ccm iko hatua 1000 mbele yenu mkijifanya mnaugomvi yenyewe inajua ata kabla hamjagombana
 
Ata tukipiga kula za kupanga msitari Lissu hawezi mshinda Samia
 
Back
Top Bottom