Akihojiwa na Clouds FM leo, January aliulizwa kama alimshirikisha baba yake katika azma yake ya kwenda kuomba uteuzi...
Wakati anajibu aliweka sentensi kuwa 'nilimwambia kuwa ...baba naenda kugombea, naomba usiniharibie... maana najua yele Mzee anaweza kwenda kule akazungumza neno, ikawa tena bas, ameshaharibu'..
Wakati anajibu aliweka sentensi kuwa 'nilimwambia kuwa ...baba naenda kugombea, naomba usiniharibie... maana najua yele Mzee anaweza kwenda kule akazungumza neno, ikawa tena bas, ameshaharibu'..