4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
mnaanzishaga ugomv , mkidundwa mnaanza tafuta mchaw huko mbali wkt uchawi ni ujinga wenuMagharibi wakiwaona waislam wa Palestina roho zinauma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mnaanzishaga ugomv , mkidundwa mnaanza tafuta mchaw huko mbali wkt uchawi ni ujinga wenuMagharibi wakiwaona waislam wa Palestina roho zinauma
kwa kujibu mapigo si ndio?Magaidi ni Ashkenazi jews
Nani kavamia nchi ya watu? Mayahudi wameketwa pale na magharibi ili wakalie ardhi yaomnaanzishaga ugomv , mkidundwa mnaanza tafuta mchaw huko mbali wkt uchawi ni ujinga wenu
Ulaya ipi? Umoja wa ulaya wanalitambia kundi la kigaidi hamas, sasa wanaounga mkono magaidi unadhani watapewa nafasi?Bila shaka mkoa Pouwa Kabisa.
Nilidhani ni hukuhuku kwetu Mambo ya kupigana rungu la mdomo, kuzibana na kukabana makoo ili Watu wasizungumze labda kuhusu jambo fulani.
Wanaharakati na wapiga domo husemaga nchi yetu na nchi za Afrika hakuna Demokrasia ikiwemo uhuru wa kujieleza na kutoa maoni.
Lakini kumbe hata Ulaya mambo ya kupigana rungu la mdomo yapo. Vita inayoendelea huko Mashariki ya Kati baina ya Israel na Palestina (Hamas) imezifanya nchi za Ulaya kuichana Demokrasia kwa wale ambao wanaiunga Mkono Palestina (Hamas).
Wanahubiri kile wasichokifanya. Na hiyo ni dalili ya Unafiki. Habari za Karim Benzema na wachezaji wengine walioiunga mkono Hamas (maana yake kuipinga Israel) wamejikuta katika kunyimwa haki zao za kujieleza kama nchi hivyo zinavyojiita nchi za kidemokrasia.
Je, hiyo ndio demokrasia?
Kama wanaruhusu mtu kushabikia au kufanya ushoga kwa nini iwe shida mtu kuwa upande wa Hamas? Kama wao wanashabikia Israel kwa nini wawazuie wanaoshabikia Hamas? Je hiyo ndio demokrasia?
Jioni njema
Sheria zinasemaje ,unavodai kitu , unatakiwa kuuaMadai yao unayajua?
Wanasema nchi yao(Palestina) imevamiwa na Wayahudi
PT ,panda twendeHebu fafanua zaidi
Sheria zinasemaje ,unavodai kitu , unatakiwa kuua
Nyoka akiuma mtu halafu akakimbilia kwenye shimbo.Waisraeli waache uonevu
Ukinunua vitu vya wizi nawe ni mwizi.Usidhani Wapalestina ni hao Hamas
Ni hayo tu.Bandari imegawiwa.
Mpiganie vya kwenu!