Kumbe hatuhitaji Katiba mpya kuwaondoa CCM madarakani, tatizo tunaongozwa na viongozi waroho

Kumbe hatuhitaji Katiba mpya kuwaondoa CCM madarakani, tatizo tunaongozwa na viongozi waroho

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
20,834
Reaction score
26,217
Wakuu...

Kumbe wala hatuhitaji Katiba Ili kuiondoa CCM madarakani kama tulivyokuwa tukiaminishwa,.

Pamoja na Katiba mbovu tuliyo nayo sasa bado CCM wanaweza kung'oka madarakani , Tatizo letu ni Viongozi waroho wa Fedha na vyeo ndio wanaotuponza , wao ndio wanatukwamisha maana wamekubali kunyamazishwa na vipande vya Fedha.


CHADEMA hawana shukrani, Mzee Warioba na Uzee wake na hakuna alichokosa kwenye maisha yake hapumziki kila siku anapambania wajinga na wachumia tumbo akifikiri kuwa Tatizo ni Katiba.


Nafikiri CHADEMA na Vyama vingine vinavyonyamazishwa kwa Fedha wanapaswa kumuomba radhi Mzee wa watu.

Mzee wa watu mpaka akapigwa makofi na Muhuni kwenye Bunge la Katiba kwa sababu ya kuwapambania wachumia tumbo. This is bullshit!!


Lisu Mwenyekiti ajaye CHADEMA
 
Wakuu...

Kumbe wala hatuhitaji Katiba Ili kuiondoa CCM madarakani kama tulivyokuwa tukiaminishwa,.

Pamoja na Katiba mbovu tuliyo nayo sasa bado CCM wanaweza kung'oka madarakani , Tatizo letu ni Viongozi waroho wa Fedha na vyeo ndio wanaotuponza , wao ndio wanatukwamisha maana wamekubali kunyamazishwa na vipande vya Fedha.


CHADEMA hawana shukrani, Mzee Warioba na Uzee wake na hakuna alichokosa kwenye maisha yake hapumziki kila siku anapambania wajinga na wachumia tumbo akifikiri kuwa Tatizo ni Katiba.


Nafikiri CHADEMA na Vyama vingine vinavyonyamazishwa kwa Fedha wanapaswa kumuomba radhi Mzee wa watu.

Mzee wa watu mpaka akapigwa makofi na Muhuni kwenye Bunge la Katiba kwa sababu ya kuwapambania wachumia tumbo. This is bullshit!!


Lisu Mwenyekiti ajaye CHADEMA
Unazungumzia CHADEMA au CCM?
 
Viongozi wa CHADEMA wananyamazishwa kwa vipande vya Fedha
Unajua TATIZO Watanzania Wengi wanawaona CHADEMA kama Malaika flani hivi, jamani CHADEMA wote ni binadamu kama binadamu mwingine yoyote Yule mwenye mema na mabaya yake.
 
Kwa katiba hii hata mie nikiwa Rais hunitoi. Kwa hiyo ukitaka mabadikiko ya kweli ukaachana na madai ya katiba mpya basi wewe hujui unachokitafuta.
 
Wakuu...

Kumbe wala hatuhitaji Katiba Ili kuiondoa CCM madarakani kama tulivyokuwa tukiaminishwa,.

Pamoja na Katiba mbovu tuliyo nayo sasa bado CCM wanaweza kung'oka madarakani , Tatizo letu ni Viongozi waroho wa Fedha na vyeo ndio wanaotuponza , wao ndio wanatukwamisha maana wamekubali kunyamazishwa na vipande vya Fedha.


CHADEMA hawana shukrani, Mzee Warioba na Uzee wake na hakuna alichokosa kwenye maisha yake hapumziki kila siku anapambania wajinga na wachumia tumbo akifikiri kuwa Tatizo ni Katiba.


Nafikiri CHADEMA na Vyama vingine vinavyonyamazishwa kwa Fedha wanapaswa kumuomba radhi Mzee wa watu.

Mzee wa watu mpaka akapigwa makofi na Muhuni kwenye Bunge la Katiba kwa sababu ya kuwapambania wachumia tumbo. This is bullshit!!


Lisu Mwenyekiti ajaye CHADEMA
Kushinda lissu ni ngumu Sana, ukizingatia ile nyomi iliyoenda kwa mbowe. Mbowe kaweka mizizi mirefu sana
 
Ni kweli tunahitaji katiba mpya, ila huwezi kuipata katiba hiyo bila ushiriki wa CCM na Serikali yake unless uniambie unataka mapinduzi, swali je watanzania wapo tayari kwa hilo.

Mi naona bado tunahitaji kiongozi wa kutumia busara zaidi, CCM wana kila kitu wewe huna lolote ukitumia nguvu watakuvunja, wataumiza wafuasi wako watawafunga utabakia na majonzi na vilio nchi nzima - recall Zanzibar kilichotokea.

Siasa za TZ ni tofauti sana na mataifa mengine ya Africa ya mashariki - bado tunamuhitaji Mbowe kama kiongozi wa wapinzani wote nchini, Lissu pia tunamuhitaji as 2nd person to keep balance wakati wa harakati za kudai katiba mpya.
 
Ni kweli tunahitaji katiba mpya, ila huwezi kuipata katiba hiyo bila ushiriki wa CCM na Serikali yake unless uniambie unataka mapinduzi, swali je watanzania wapo tayari kwa hilo.

Mi naona bado tunahitaji kiongozi wa kutumia busara zaidi, CCM wana kila kitu wewe huna lolote ukitumia nguvu watakuvunja, wataumiza wafuasi wako watawafunga utabakia na majonzi na vilio nchi nzima - recall Zanzibar kilichotokea.

Siasa za TZ ni tofauti sana na mataifa mengine ya Africa ya mashariki - bado tunamuhitaji Mbowe kama kiongozi wa wapinzani wote nchini, Lissu pia tunamuhitaji as 2nd person to keep balance wakati wa harakati za kudai katiba mpya.
Mawazo yaliyotamalaki hivi sasa ni kuwa wananchi wako tayari kwa mapambano. Tatizo ni kukosekana kwa uongozi thabiti wa kuwaingiza barabarani. Ndio sababu wengi wanaamini Lissu, kwa ujasiri wake, ataiweza kazi hiyo. Na kwamba Maridhiano aliyosimamia Mbowe yameshindwa. Apumzike.

Lissu keshasema "no reform, no election". Watu wajiandae kwa "confrontation" kuhakikisha uchaguzi haufanyiki bila mfumo unaokubalika kuwekwa. Nadhani wamekubaliana kwenye Kamati Kuu. Watu wana imani na Lissu katika kusimamia hilo.

Sasa mkuu unapotoa huo ushauri nilio-highlight, si rahisi kueleweka na wadau hapa. I note your concern, though.

Mimi nasubiri jambo moja tu. Kuona jinsi CHADEMA watakavyofanya uchaguzi wa mwenyekiti ili nijue ukweli wa chama hiki kama ni cha kidemokrasia au ni version nyingine ya CCM na vyama vingine vya waswahili hapa Africa. Sina interest kabisa na jazba za wadau wa mitandaoni. Reality iko kwa wapiga kura.
 
Back
Top Bottom