GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hofu yangu wasije wakawa baadhi ya Wachezaji wao ni Makomandoo pia kwani wana Pumzi na Wanakaba Kijeshi mno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ni 2-0 ?Wamewamudu Simba wamefungwa kwa makosa yao wenyewe ile faulo na kujifunga. Lile shuti la Isabilo lingeingia nyavuni nadhani ingehamsha hari na kuona wanaweza kukomboa goli lililobakia na kwenda kwenye penati