Kumbe hawa tunaowadharau ndio wanaotupa Trillioni Tisa kwenye Afya!

Kumbe hawa tunaowadharau ndio wanaotupa Trillioni Tisa kwenye Afya!

Kaka Pekee

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2018
Posts
336
Reaction score
564
Kumbe hawa tunaowadharau na kuwakumbatia Wachina ndio hutuchangia Asilimia 80% katika budget yetu ya Afya. Kutoa Dawa za ARV’s na Support ya kupima VVU / UKIMWI.
DA9F86DC-8597-4EE8-91AA-9F5E279599C6.jpeg
 

Attachments

Nchi hii haina Ubavu wa kuidharau USA mkuu "..... hakuna hata wa kuthubutu " achana kabisa na hao watu" kuna ma-taifa ya kuwa vimbia lakini sio sisi sembe country " ambao tuna shindwa kuwa na kiwanda hata cha Tooth sticks ".... Hao jamaa wamewekeza sana tz wapo mpaka vijijini ndani ndani huko ambapo mimi na wewe hatujawahi hata kufikiria kufika
 
Ulikuwa hujui,,, wachina kazi yao ni kuiba na ni walaghai [emoji648]
Wote wezi tu "... wapo hapa africa kwaajili ya kutudumaza zaidi kiuchumi tusi stawi . Hakuna hata mwenye nafuu ..hizo pesa wanazo zitoa huwa hawazitoi bure " mikopo yake inariba kubwa ya hali ya juu na inapotokea tukashindwa kulipa basi huwa wana tuambia tuwapatie vitalu vyetu vya mali asili " wavitumie kuvuna mali zetu ili waweze kulipa deni. Lao "

Hata hizo ARVs hazitolewi bure kama ambavyo tunavyo ongopewa ..
 
mchina anatoa kidogo sana lakini kwa mbwembwe nyingi, kuanzia ngoma za asili, hotuba za viongozi na propaganda nyingine. USA na EU ndio watoaji wakubwa kabisa wa misaada nchini, kuna watu humu jukwaani huwa wanajidanganya kuwa sisi ni "masikini jeuri" lakini kiukweli hatuna jeuri yoyote. wale jamaa wakiamua kukata misaada yote basi serikali itaanguka ndani ya miezi michache tu na ikiwezekana hata mapinduzi yanaweza fanyika.
 
mchina anatoa kidogo sana lakini kwa bwebwe nyingi, kuanzia ngoma za asili, hotuba za viongozi na propaganda nyingine. USA na EU ndio watoaji wakubwa kabisa wa misaada nchini, kuna watu humu jukwaani huwa wanajidanganya kuwa sisi ni "masikini jeuri" lakini kiukweli hatuna jeuri yoyote. wale jamaa wakiamua kukata misaada yote basi serikali itaanguka ndani ya miezi michache tu na ikiwezekana hata mapinduzi yanaweza fanyika.
Wanajua publicity hukumbuki yale magazeti ya watu wa China?
 
Wote wezi tu "... wapo hapa africa kwaajili ya kutudumaza zaidi kiuchumi tusi stawi . Hakuna hata mwenye nafuu ..hizo pesa wanazo zitoa huwa hawazitoi bure " mikopo yake inariba kubwa ya hali ya juu na inapotokea tukashindwa kulipa basi huwa wana tuambia tuwapatie vitalu vyetu vya mali asili " wavitumie kuvuna mali zetu ili waweze kulipa deni. Lao "

Hata hizo ARVs hazitolewi bure kama ambavyo tunavyo ongopewa ..
Nina ndugu ambaye anatumia dawa hizo, huwa akienda kila mwezi kuchukua dawa BURE. Nikuhakikishie kwa hilo. Kuna baadhi ya sehemu hulipia 8000 elfu nane kumuona daktari kupima na kujua maendeleo yao kabla ya kupewa dawa lakini kwa upande wa dawa ni bure kabisa.
 
Nina ndugu ambaye anatumia dawa hizo, huwa akienda kila mwezi kuchukua dawa BURE. Nikuhakikishie kwa hilo. Kuna baadhi ya sehemu hulipia 8000 elfu nane kumuona daktari kupima na kujua maendeleo yao kabla ya kupewa dawa lakini kwa upande wa dawa ni bure kabisa.
Mkuu dawa wananchi tunapewa bure " lakini serikali inanunua " Uko kwenye dunia ya ngapi chief"!!?.... hayo madawa ni biashara kubwa sana ya USA ambayo ina changia kulinyanyua taifa lao kiuchumi . Na ikitokea ukajifanya wewe raisi unapinga hautaki kununua " Utaundiwa zengwe mpaka utolewe madarakani".....

Usione watu (ma-raisi ) wapo madarakani basi ukadhani wana jiendeshea tu nchi wanavyotaka kuna power ambazo zina simamia tawala zao nakuwataka wafuate vile wanavyotaka wao .....

Karibu
 
Back
Top Bottom